Nakosa amani kila uingiapo usiku

Nakosa amani kila uingiapo usiku

Duh! Pole sana, mkuu una kitu kitaalamu kinaitwa "NYCTOPHOBIA", yaani kuogopa usiku/giza kulikopindukia. Inaonekana huwa unapata dalili za kuweweseka, moyo kwenda mbio, kuishiwa pumzi, kutokwa jasho la nguvu nk.
Nyctophobia inaufanya ubongo utengeneze hisia potofu kuhusu usiku na giza totoro. Kama vile vifo, ushirikina, jinamizi au mambo mengine mabaya.
Tiba ya Nyctophobia: Mgonjwa kupelekwa kwenye giza totoro "exposure" yaani ataogopa mpaka ule uoga unakwisha "flooding", Cognitive behavior therapy "Utambuzi tabia tiba". Hali ikiwa mbaya saana mgonjwa anaweza kuandikiwa dawa za kutibu msongo wa mawazo (depression) / wasiwasi (anxiety).
 
Pole sana kwa matatizo haya. Nimewahi kuwa na hali kama hii pia. Ukweli ni kwamba hali hii inatokana na kazi za nguvu za giza. Kuna mahali ulifungua mlango (wa roho) na shetani ametumia mwanya huo kuingia katika maisha yako. Usiogope hata hivyo ipo dawa. Kuna uchawi katika maisha yako, ukiangalia pia utaona mambo yako hayaendi vizuri. Siku za karibuni pengine umegombana na mtu, umefanya dhambi hasa uzinzi na rafiki mpya au umerudi nyuma kiroho na shetani amechukua nafasi.

Unachopaswa kufanya ni kujiweka sawa kiroho na kurudi kwenye mstari. Tubu dhambi zako kwa Yesu Kristo. Mwombe akusamehe. Sali kila siku kabla ya kulala na asubuhi uamkapo. Jikabidhi mikononi mwa Yesu Kristo kila siku. Mwite Yesu na uongee naye kama unavyoongea na mtu mwingine unayemheshimu. Mwombe akulinde na nguvu za giza. Utaona tatizo hili litaisha mara moja. Kila la kheri.
 
Wanajamvi Habari Za Jioni, Bila Shaka Ni Wazima na Bukheri Wa Afya, Naombeni Nishee Nanyi Hili Jambo huenda Nikapata Ufumbuzi, Sababu Naamini humu kuna Watu Wenye Ufahamu wa Kila Aina, Kadri Siku Zinavyoenda Naona Tatizo Linazidi Kuwa Kubwa, Nimekuwa na Hofu Mno Hasa Ukiingia Usiku Wa Kiza, Yaani Moyo Unaenda Mbio Bila Sababu, Usingizi Unakata Kabisa, Nikisema Kausingizi Kanipitie tu, Ndio Nitaota Vitu Vya Ajabu Hadi Nashtuka Usingizini, Natamani Muelewe Hii Hali Ninayopitia, Imefika Pahala Nashinda Ma Club Mradi Nirudi Nyumbani Asubuhi, Nayo Nimeona Sio Solution Zaidi Ya Kufuja tu Pesa, Kwa Wenye Experience mwaweza Nisaidia Hii Hali Inatokana Na Nini Na Nifanye Nini iondoke? Please! Over Please! Nahitaji Msaada, Ni Kweli Na Wala Sio Hadithi Ya Kutunga , Mungu Awabariki na Kuwalinda.

Ahsanteni Sana!
Unayoongea ni changamoto zinawapata watu wengi kwa sababu ya kutoijua kweli. wewe unazungumzia tatizo la 'mood', 'mood' nzuri ni zawadi kutoka kwa Mungu (tunda la Roho Mtakatifu) kwa hiyo hauna ujanja kama unataka maisha ya amani, furaha na upendo lazima umsujudie Mungu. Usione haya maneno: Kwa MUNGU, kila goti litapigwa, Kwa Bwana Yesu, kila goti litapigwa, usione wenzako wanakesha makanisani ni kwa ajili, pamoja na mambo mengine, ya utakaso na kupata zawadi hii kubwa ya BWANA Mungu Mwenyezi. Fanya tu maamuzi ya kugeuka na kumsujudia Bwana Yesu nawe utaona wokovu wake.
 
Nashukuru
Unayoongea ni changamoto zinawapata watu wengi kwa sababu ya kutoijua kweli. wewe unazungumzia tatizo la 'mood', 'mood' nzuri ni zawadi kutoka kwa Mungu (tunda la Roho Mtakatifu) kwa hiyo hauna ujanja kama unataka maisha ya amani, furaha na upendo lazima umsujudie Mungu. Usione haya maneno: Kwa MUNGU, kila goti litapigwa, Kwa Bwana Yesu, kila goti litapigwa, usione wenzako wanakesha makanisani ni kwa ajili, pamoja na mambo mengine, ya utakaso na kupata zawadi hii kubwa ya BWANA Mungu Mwenyezi. Fanya tu maamuzi ya kugeuka na kumsujudia Bwana Yesu nawe utaona wokovu wake.
 
Naomba Nisaidiwe Hatua Gani Ndugu? Yawezekana, Mi Ni Binaadam Pia

Omba rehema na msamaha kwa Mungu!
Funga kavu na kuomba, jieleze kwake!
Mwambie vile unataka kuwa huru tokea nafsini na Moyoni mwako!
Shirikisha viongozi wako wa imani yako!
Tembea kwa miguu kwa mwendo wa Walau saa moja!
Wasamehe waliokukosea, watafute walipo utengeneze nao na kuwaachilia Moyoni mwako!
Mengineyo jiongeze mwenyewe!
Ila Uzoefu unaonesha utakuwa umerogwa tena na Mtu wa Karibu yako sana sana na amekufanya usijisikie mapema!
Mungu atuhurumie!
 
Hakuna njia ya moja kwa moja.

Ila tukiweza kujua kipindi linaanza ilikuaje, muda gani hali inakujia, na inakuzidia kuda gani tunaweza kupunguza tatizo kwa njia ya kuongea. Likiwa kubwa kuna vidonge.

Ila kwa elimu yangu ndogo naona hizo ni dalili za kua schizophrenic. Hii hali ikizid unaweza kua chizi.
Duh asee.
Sijui lilianzahe but kna sauti inakua km mshauri wako kchwani kila mda,kna kipindi inakua km mshkaji wako yaan mnapga story mpka kukumbushia vya nyuma hadi unaweza ukacheka kwa sauti mtu akauliza vp,ukajbu mmekumbuka kitu tu
 
Duh asee.
Sijui lilianzahe but kna sauti inakua km mshauri wako kchwani kila mda,kna kipindi inakua km mshkaji wako yaan mnapga story mpka kukumbushia vya nyuma hadi unaweza ukacheka kwa sauti mtu akauliza vp,ukajbu mmekumbuka kitu tu
Umewahi kuuangalia moto unaowaka mfano wa kwenye jiko la gesi? Ukiutazama unatengeneza image zozote kichwani?
 
Nafikiri tunatakiwa kutrace kipindi ambacho tatizo lilianza.

Siku zipi linazidi?

Muda gani linazidi?

Unaota ndoto za aina gani?

Wakati uko mtoto umewahi kua na phobia yoyote?

Una mahusiano yaliyovunjika wakati hili swala linaanza?

Mahusiano yako na marafiki na jamii yapoje?

Una hallucinations zozote?

Umeunda marafiki wa kufikirika?

Mahusiano yako na jamii unayaonaje?
Duuh,watu mnajua ku-analyze mambo na kutafuta njia sahihi za kusolve tatizo.Hongera mkuu.
 
Wanajamvi Habari Za Jioni, Bila Shaka Ni Wazima na Bukheri Wa Afya, Naombeni Nishee Nanyi Hili Jambo huenda Nikapata Ufumbuzi, Sababu Naamini humu kuna Watu Wenye Ufahamu wa Kila Aina, Kadri Siku Zinavyoenda Naona Tatizo Linazidi Kuwa Kubwa, Nimekuwa na Hofu Mno Hasa Ukiingia Usiku Wa Kiza, Yaani Moyo Unaenda Mbio Bila Sababu, Usingizi Unakata Kabisa, Nikisema Kausingizi Kanipitie tu, Ndio Nitaota Vitu Vya Ajabu Hadi Nashtuka Usingizini, Natamani Muelewe Hii Hali Ninayopitia, Imefika Pahala Nashinda Ma Club Mradi Nirudi Nyumbani Asubuhi, Nayo Nimeona Sio Solution Zaidi Ya Kufuja tu Pesa, Kwa Wenye Experience mwaweza Nisaidia Hii Hali Inatokana Na Nini Na Nifanye Nini iondoke? Please! Over Please! Nahitaji Msaada, Ni Kweli Na Wala Sio Hadithi Ya Kutunga , Mungu Awabariki na Kuwalinda.

Ahsanteni Sana!
Mimi ni mtumishi wa sina amani mwisho WA mweziunapokaribra r
 
Wanajamvi Habari Za Jioni, Bila Shaka Ni Wazima na Bukheri Wa Afya, Naombeni Nishee Nanyi Hili Jambo huenda Nikapata Ufumbuzi, Sababu Naamini humu kuna Watu Wenye Ufahamu wa Kila Aina, Kadri Siku Zinavyoenda Naona Tatizo Linazidi Kuwa Kubwa, Nimekuwa na Hofu Mno Hasa Ukiingia Usiku Wa Kiza, Yaani Moyo Unaenda Mbio Bila Sababu, Usingizi Unakata Kabisa, Nikisema Kausingizi Kanipitie tu, Ndio Nitaota Vitu Vya Ajabu Hadi Nashtuka Usingizini, Natamani Muelewe Hii Hali Ninayopitia, Imefika Pahala Nashinda Ma Club Mradi Nirudi Nyumbani Asubuhi, Nayo Nimeona Sio Solution Zaidi Ya Kufuja tu Pesa, Kwa Wenye Experience mwaweza Nisaidia Hii Hali Inatokana Na Nini Na Nifanye Nini iondoke? Please! Over Please! Nahitaji Msaada, Ni Kweli Na Wala Sio Hadithi Ya Kutunga , Mungu Awabariki na Kuwalinda.

Ahsanteni Sana!
Yaweza kuwa in libido ama vinginevyo na Mimi usingizi unanisumbuaga sana
 
Wanajamvi Habari Za Jioni, Bila Shaka Ni Wazima na Bukheri Wa Afya, Naombeni Nishee Nanyi Hili Jambo huenda Nikapata Ufumbuzi, Sababu Naamini humu kuna Watu Wenye Ufahamu wa Kila Aina, Kadri Siku Zinavyoenda Naona Tatizo Linazidi Kuwa Kubwa, Nimekuwa na Hofu Mno Hasa Ukiingia Usiku Wa Kiza, Yaani Moyo Unaenda Mbio Bila Sababu, Usingizi Unakata Kabisa, Nikisema Kausingizi Kanipitie tu, Ndio Nitaota Vitu Vya Ajabu Hadi Nashtuka Usingizini, Natamani Muelewe Hii Hali Ninayopitia, Imefika Pahala Nashinda Ma Club Mradi Nirudi Nyumbani Asubuhi, Nayo Nimeona Sio Solution Zaidi Ya Kufuja tu Pesa, Kwa Wenye Experience mwaweza Nisaidia Hii Hali Inatokana Na Nini Na Nifanye Nini iondoke? Please! Over Please! Nahitaji Msaada, Ni Kweli Na Wala Sio Hadithi Ya Kutunga , Mungu Awabariki na Kuwalinda.

Ahsanteni Sana!
Jitahidi kusali kwa kumaanisha
Ndugu yangu alikuwa na shida hiyo
Lkn alipohama mahli alipokuwa anaishi hiyo shida ikakoma
Pia kusali napo ni jibu tosha
 
Pole sana...

Uwe unafua shuka zako mara kwa mara...

Badilisha godoro kama unalalia ulimi...

Ongeza ukubwa wa dirisha lako ili upate hewa safi...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom