Nakopaje pesa kupitia Aquas Zero?

Nakopaje pesa kupitia Aquas Zero?

card78

Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
49
Reaction score
48
Naombeni msaada namna ya kukopa kwa kutumia app iliyo kwenye simu ya Aquas zero?

Jamaa zangu wawili wamevuta mpunga na mwingine katumia Samsung, maana hiyo app iko installed na simu direct kutoka kwenye firm
 
Naombeni msaada namna ya kukopa kwa kutumia app iliyo kwenye simu ya Aquas zero?

Jamaa zangu wawili wamevuta mpunga na mwingine katumia Samsung, maana hiyo app iko installed na simu direct kutoka kwenye firm
Hao jamaa zako wamegoma kabisa kukueleza?
 
Back
Top Bottom