gilishiphilomena
Member
- Feb 11, 2019
- 32
- 40
Shamba lipo kigamboni mwasonga zimebaki heka 5 zinazotumika kwa kilimo, maji yapo, ulinzi upo. Mazao yanayoweza kustawi ni jamii yote ya mikunde, mbogamboga, mahindi, matikiti, pilipili zote. Heka moja 100,000/= kwa muda wa miezi mitatu. Kwa mawasiliano 0752363857 karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
asante kwa kuwa wa kwanza kucomment kwenye tangazo langu. Mashamba yameisha.