E.A.MWAKYUSA
Member
- Nov 7, 2014
- 65
- 4
Haya sasa mwisho wa mwaka huu acha kuteseka wala kuwaza kupandishiwa nauli juu kwenda kwenu kula sikukuu au shughuli zozote zile nakodishwa kwa makubaliano tutayofikia. Karibuni sana. 0784791233.
shingapi kwenda nalo na kukaa nalo mgombani kwa mwezi mmoja
Mkuu hata kule kwenu kuna mgomba?
Mgombani ni wapi?
shingapi kwenda nalo na kukaa nalo mgombani kwa mwezi mmoja
Masai dada utakodishwa,lakini sio upige Mbege ndio uendeshe.Tafuta Dereva asiepiga kilaji.