Nimekuwa natatizwa sana na hili neno pindi linapotumika katika ulingo wa siasa hasa katika vyama.Vyama vinavyofanya kazi ya kuikosoa serikali vinaitwa vyama vya upinzani.Mi naona litafutwe jina jingine lenye kufaa kuitwa vyama vyenye kupaza sauti zetu walalahoi badala ya upinzani make kazi yake ni kuirekebisha serikali.
nawasilisha
nawasilisha