Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Nina mtoto was miaka mitatu na nusu anatatizo la amoeba sugu yaani anatumia flagile ya maji kila anpokutwa na ugonjwa hutulia kwa muda kisha hujirudia tena,naomba ushauri wenu
 
Habari dokta. Naomba kujua tiba (dawa ya masundosundo sehemu za siri) maana huyu ndugu yangu alitibiwa ila yanarudi tena baada ya muda. Hana amani anateseka sana. Bila shaka atapata jibu sahihi kutoka kwako na hospitali alishapewa dawa ila baada ya muda yanarudi.

masundo sundo ni nini? ni genital warts? mtaalamu gorgeousmimi uje huku
 
Last edited by a moderator:
naomba ushauri wenu ndugu zangu, mye ni mjamzito miezi nane ujauzito wa kwanza, leo asubuhi nilenda hospital kufanya kipimo cha utrasound, majibu yake,.... Majimaji yanayomzunguka mtoto hayatoshi, pia mtoto ana uzito mdogo sana Wt: 1442g, naomba ushauri nifanye nini au nile chakula gani angalau uzito uongezeke wa mtoto nisaidieni jamani
 
mkuu gorgeousmimi mi ninasumbuliwa na muwasho kooni na ulimi upo white in colour na sometimes huwa na kama makohozi kooni.
Je,ni nini hicho na tiba yake ipo vipi mkuu gorgeousmimi msaada tafadhali
 
Last edited by a moderator:
Dada mmoja kaniomba nikuulize doctor kwamba katumia dawa za misoprostol tatu akameza na moja akaweka uken ili kutoa mimba lakini baadaye akatapika je dawa itafanya kazi? Na kama haitafanya arudie zoezi la kutoa kwa muda gani? Tafadhali naomba msaada wako.
 
Nini tiba sahihi ya homa. Maana naweza umwa maralia au Typhoid au U.T.I lakin baada ya kutibia homa inabak pale pale
 
Muscles za mguu wa kushoto zinavuta sana mpaka pembeni mwa tumbo kumacheza na kuuma ni mwezi wa 4 sasa tatizo ni.nini doctor?Ila nina ugonjwa wa asthma ba daw yangu kubwa ni rednisoln baada ya aminophylline na salbutamol kufail
 
Nina mtoto was miaka mitatu na nusu anatatizo la amoeba sugu yaani anatumia flagile ya maji kila anpokutwa na ugonjwa hutulia kwa muda kisha hujirudia tena,naomba ushauri wenu

flagile sio tiba sahihi ya amoeba... hii huwa haimakizi vijidudu.....mpeleke hospital akapate tiba sahihi
 
naomba ushauri wenu ndugu zangu, mye ni mjamzito miezi nane ujauzito wa kwanza, leo asubuhi nilenda hospital kufanya kipimo cha utrasound, majibu yake,.... Majimaji yanayomzunguka mtoto hayatoshi, pia mtoto ana uzito mdogo sana Wt: 1442g, naomba ushauri nifanye nini au nile chakula gani angalau uzito uongezeke wa mtoto nisaidieni jamani

we kula tu balanced diet... calcium, madini ya chuma na zinc viwe kwa wingi sana... hivyo mboga za majani, matunda, dagaa visicheze mbali mkuu
 
Nini tiba sahihi ya homa. Maana naweza umwa maralia au Typhoid au U.T.I lakin baada ya kutibia homa inabak pale pale

ni kushusha joto na kuongeza damu.... hivyo pima kwanza kiwango cha damu.

hizo dozi huwa unatumia kwa usahii kweli?
 
Muscles za mguu wa kushoto zinavuta sana mpaka pembeni mwa tumbo kumacheza na kuuma ni mwezi wa 4 sasa tatizo ni.nini doctor?Ila nina ugonjwa wa asthma ba daw yangu kubwa ni rednisoln baada ya aminophylline na salbutamol kufail

we ni ME au KE?
kama ni ME hebu uchunguzwe na ngiri/mshipa.
 
Nna maumivu makali chini ya mbavu upande wa mgongon maumivu yanaenda wiki ya pili sasa na sijawahi kupata ajali ama kuumia kwa vyovyote sehem hiyo.... msaada kwa anayejua ivi itakua ni nn iyooo?!
 
Dr nomba unisaidie dawa ya kuweza kutibu/kuondoa kisunzua(sina hakika kwa jinalake kama ni sahihi maana ninafahamu kwa hilo jina) kimeota kwenye shingo. Nimejaribu kwenye pharmacy mbalimbali nikapewa dawa flani ya kupaka iko kama acid hivi kama pencil. Lakini baada ya muda mfupi kinaota tena. Nilivyoenda hospital nimeambiwa kufanyiwa operation kitu ambacho sijaafiki kwanya. Previously kama 2001 kiliniota kwenye kidole mguuni lakini nilipatiwa na kikapotea hadi leo. Msaada please.
 
Back
Top Bottom