sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Naunga mkono hoja.. Kloro atakuwa mweka hazina...haha!<br />
<br />
hizi comments hata sielewi zimenichekesha kwa huzuni au furaha.
Jamaa kakata tamaa, tukusanye rambi rambi kabisa.
Naunga mkono hoja.. Kloro atakuwa mweka hazina...haha!<br />
<br />
hizi comments hata sielewi zimenichekesha kwa huzuni au furaha.
Jamaa kakata tamaa, tukusanye rambi rambi kabisa.
Pole Mkuu! Ila tatizo lako linatibika kama utafuata ushauri wangu!
Tengeneza mchanganyiko ufuatao...
Juice ya Limao glasi 1
Glasi 1 ya Maji ya Betri.
Steel wood (stili waya) 50grms.
Dettol ya maji 250ml.
Utatumia kunywa na kupaka mchanganyiko huo mara 3 kwa kutwa. Pia usisahau kucheza michezo ya kitoto kama vile Ready(rede) mdako na kushiriki kucheza kibaba-baba na watoto walio karibu yako hasa umri wa miaka 6 hadi 9... Utapona! Wengi wamepona kwa kuzingatia ushauri huu. Ukipona tafadhali usinitafute tutakutana siku ya mwisho unipe asante yako..!
Ugua poleee!
Pole Mkuu! Ila tatizo lako linatibika kama utafuata ushauri wangu!
Tengeneza mchanganyiko ufuatao...
Juice ya Limao glasi 1.
Glasi 1 ya Maji ya Betri.
Steel wood (stili waya) 50grms.
Dettol ya maji 250ml.
Utatumia kunywa na kupaka mchanganyiko huo mara 3 kwa kutwa. Pia usisahau kucheza michezo ya kitoto kama vile Ready(rede) mdako na kushiriki kucheza kibaba-baba na watoto walio karibu yako hasa umri wa miaka 6 hadi 9... Utapona! Wengi wamepona kwa kuzingatia ushauri huu. Ukipona tafadhali usinitafute tutakutana siku ya mwisho unipe asante yako..!
Ugua poleee!
Ndugu zangu naombeni msaada, kila ninapotembea kwa mguu muda fulani maeneo ya kiuno napata maumivu sana kiasi kwamba miguu pia huanza kukosa nguvu !!!!!!! Lakini kila siku natembea kilometa 2 kwenda kazini. tafadhali nisaidieni!
We umeshamshauri??Nyie watu mnatania!mwenzenu anateseka nyie mwashabikia!Achen utan na ugonjwa!kama hauna issue ya kumshauri si uchape zako mwendo!Damn!
Nyie watu mnatania!mwenzenu anateseka nyie mwashabikia!Achen utan na ugonjwa!kama hauna issue ya kumshauri si uchape zako mwendo!Damn!
<br />Km kl ck unatembea 4 km 2 kwenda 2 kurudi umbali uliotembea unaweza kuzunguka bara lote la afrika.WW NI VASCODAGAMA WA 2 TZ.
<br /> <br / wallah unauaPole Mkuu! Ila tatizo lako linatibika kama utafuata ushauri wangu!<br /> Tengeneza mchanganyiko ufuatao...<br /> Juice ya Limao glasi 1.<br /> Glasi 1 ya Maji ya Betri.<br /> Steel wood (stili waya) 50grms.<br /> Dettol ya maji 250ml.<br /> <br /> Utatumia kunywa na kupaka mchanganyiko huo mara 3 kwa kutwa. Pia usisahau kucheza michezo ya kitoto kama vile Ready(rede) mdako na kushiriki kucheza kibaba-baba na watoto walio karibu yako hasa umri wa miaka 6 hadi 9... Utapona! Wengi wamepona kwa kuzingatia ushauri huu. Ukipona tafadhali usinitafute tutakutana siku ya mwisho unipe asante yako..! <br /> Ugua poleee!
<br /> <br / mbayuwayu<br /><br /> <br /><br /> Na Vasco da Gama wa 1 wa Tz ni yupi?!