Nakala za kitabu cha Hofu zipo mtaani sasa

Nakala za kitabu cha Hofu zipo mtaani sasa

kibuyu180

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2016
Posts
1,795
Reaction score
1,952
Wapenzi wa riwaya za kipelelezi za Marehemu Mzee musiba, Leo kitabu chake cha HOFU kimetoka sh 10,000. Fika Kariakoo kwa wauza magazeti na vitabu. Pia KIKOSI CHA KISASI bado kipo. Nawatakia kazi njema
 
Mleta mada ee! Title yako imenikimbiza kuisoma haraka mada yako ili kujua ni wapi huko polisi na ffu wamekinukisha kumbe ni kitabu kipo mtaani! Ulifanya hivyo makusudi au?
 
Mleta mada ee! Title yako imenikimbiza kuisoma haraka mada yako ili kujua ni wapi huko polisi na ffu wamekinukisha kumbe ni kitabu kipo mtaani! Ulifanya hivyo makusudi au?
Pole Mkuu ila naona sasa poa
 
Back
Top Bottom