Ashampoo burning
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 1,296
- 3,929
DR HAYA LAND wanasema eti nyie walemavu hHakuna mwanaume anakuwa na ulemavu WA ufupi huyo sio mwanaume ni mlemavu wewe ulitoa k kwa mlemavu.hongera.umepata ulichokitafta
Usinoambie hata huwa humegwiππSijawahi kwakweli, coz sinaga matarajio Kwa hayo mamboπ
Wee mfupiKumuita MTU mfupi hiyo ni bullying au unyanyasaji wa kisaikolojia wa kumfanya MTU asijiamini .
Binafsi nikiona MTU anamuita MTU mfupi ili Kum-torture psychologically nakuwa namuona hajitambui
Kwakuwa I don't think Kama kuna MTU aliji design hivyo
Mie simegwi kwakweliπ€£π€£Usinoambie hata huwa humegwiππ
Jumapili hii sister unasema mapenzi yafutwe..Mapenzi yafutwe
Yafutwe mkuu yatatuuaJumapili hii sister unasema mapenzi yafutwe..
ππππ
Wanaume wabaya sana hasa akiwa mfupi
Wacha yaendelee kuwepo hizi pisi tuziache hivi hivi aisee si dhambi hiyo mshaambiwa endeni mkazaliane..Yafutwe mkuu yatatuua
MuongoooMie simegwi kwakweliπ€£π€£
Kwanini??Muongooo
Mkuu unatumia akili nyingi kumjibu mtu ambaye kwa maandishi yake tu inaonekana ni mjinga?Kumuita MTU mfupi hiyo ni bullying au unyanyasaji wa kisaikolojia wa kumfanya MTU asijiamini .
Binafsi nikiona MTU anamuita MTU mfupi ili Kum-torture psychologically nakuwa namuona hajitambui
Kwakuwa I don't think Kama kuna MTU aliji design hivyo
mbona kama ni videoDa nandy anakwambia yeye na mapenzi sasa bas, bora ale zake makande atabasam πView attachment 3420548
Duh hata kazi yangu unaijua!?,Nani kakwambia mimi ni mbirikimo? PoleWewe MBILIKIMO tafadhari sana kaa kimya nyie hata Jwtz huwa hamtakiwi ...humu jamii forum tunawavumilia sana watu wafupi ilibidi muwe jf juniors yenu mkae huko
πππ mlalamikaji hajasema kama amepigwa na kitu chenye ncha kali ama ni cha aina gani, hivyo nakosa hoja ya maana ya kumtetea bro short.Kijana Masikini njoo ututetee wanaume wafupi πππ
Tumekufanyaje tena sisi watu ambao tukimeza mate tunahisi kukojoa?hasa akiwa mfupi
NnshaaaaaaahKumbe ni kweli mapenzi sio ya kuendekeza?
Wanaume wabaya sana hasa akiwa mfupi