Najuta tamaa mbaya

Najuta tamaa mbaya

Maziwa fresh

Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
14
Reaction score
1
habari zenu wana MMU
Najuta kusema uongo na tamaa yangu ya mapenzi, mimi ni kijana wa kiume sijaoa nafanya kazi na kampuni fulani hapa rocky city. Mwezi januari nilihama sehemu niliyokuwa nimepanga nikapata chumba sehemu nyingine.
Nilipohamia mama mwenye nyumba anaishi na mdogo wake wa kike akaanza kuwa karibu na mimi sasa kidume nikarusha ndoano binti kakubari kutoa gegedo, baadaye dada mtu kainasa habari kuwa nakula mzigo kwa mdogo wake ikabidi amwambie mdogo wake anipe taarifa kuwa jion nimuone dada yake ana maongezi na mimi.
Maswali niliyokutana nayo katika kile kikao kati yangu na dada wa yule binti ni:
  • mdogo wangu nimemuuliza akasema ukweli kwamba una mahusiano naye, je mpango wako ni upi sasa,unakula mzigo na kuacha au una malengo ya kuoa?
  • Je huna mke au mpenzi mwingine?
majibu niliyompa ni kwamba siwezi kujibu maswali yako haraka na mapema mno.
Lakin kinachonifanya nijute ni kuwa mwezi June 2014 mpenzi wangu anakuja toka Dar kuja kuishi kwangu akiwa anafanya field na siwezi kuhama ile sehemu coz nimelipa kodi ya mwaka mzima na masharti ya mkataba wa pango ni kwamba mpangaji akihama kabla ya muda kuisha hela hairudishwi.
Kuepusha shari kati ya mama mwenye nyumba, mdogo wake(gegedo langu la sasa) na mpenzi wangu wa ukweli Nifanye? USHAURI WAKO NI MUHIMU NA SIYO MATUSI
 
Isiwe mrembo hajawahi kupelekewa posa nyumbani kwao hata siku moja, kwahiyo wewe ulipojiingiza kichwa kichwa imekua sababu ya kukupata, pengine alijadiliana na dada yake mkubwa baada ya wewe kurusha ndoana

Usikate tamaa subiri michango zaidi kutoka wa wakuu ili ujue nini cha kufanya

Pole sana
 
rahisi sana ndugu, vuta subira hadi wakati huo atakapokuja huyo wa Dar ndipo utagundua solution unayo mwenyewe bila kumuuliza yeyote. Kifupi ni kwamba likishakuwa ni tatizo utapata akili ya kulitatua, kwa sasa bado si tatizo endelea tu kufaini kodi yako ya mwaka.
 
wewe ulipojiingiza kichwa kichwa imekua sababu ya kukupata, pengine alijadiliana na dada yake mkubwa baada ya wewe kurusha ndoana

wemepata pa kuponea , walimsaka mda mrefu sana....!
we unazani kupata mume wa kuowa ni rahisi siku hizi!!?
 
Sasa unataka ushauri gani sababu kama nakuona unataka vyote na hapo ndipo hatari.Chagua moja wa Daaar au msukuma wa huko mwanza.Hapo hamna ushauri mwingine.
 
Kwanza nimecheka hadi mwishooo,,,,,, dah! Pole sana, ila hapo hamna jinsi hicho, kikombe hakiepukiki kiekwel.
 
habari zenu wana MMU
Najuta kusema uongo na tamaa yangu ya mapenzi, mimi ni kijana wa kiume sijaoa nafanya kazi na kampuni fulani hapa rocky city. Mwezi januari nilihama sehemu niliyokuwa nimepanga nikapata chumba sehemu nyingine.
Nilipohamia mama mwenye nyumba anaishi na mdogo wake wa kike akaanza kuwa karibu na mimi sasa kidume nikarusha ndoano binti kakubari kutoa gegedo, baadaye dada mtu kainasa habari kuwa nakula mzigo kwa mdogo wake ikabidi amwambie mdogo wake anipe taarifa kuwa jion nimuone dada yake ana maongezi na mimi.
Maswali niliyokutana nayo katika kile kikao kati yangu na dada wa yule binti ni:
  • mdogo wangu nimemuuliza akasema ukweli kwamba una mahusiano naye, je mpango wako ni upi sasa,unakula mzigo na kuacha au una malengo ya kuoa?
  • Je huna mke au mpenzi mwingine?
majibu niliyompa ni kwamba siwezi kujibu maswali yako haraka na mapema mno.
Lakin kinachonifanya nijute ni kuwa mwezi June 2014 mpenzi wangu anakuja toka Dar kuja kuishi kwangu akiwa anafanya field na siwezi kuhama ile sehemu coz nimelipa kodi ya mwaka mzima na masharti ya mkataba wa pango ni kwamba mpangaji akihama kabla ya muda kuisha hela hairudishwi.
Kuepusha shari kati ya mama mwenye nyumba, mdogo wake(gegedo langu la sasa) na mpenzi wangu wa ukweli Nifanye? USHAURI WAKO NI MUHIMU NA SIYO MATUSI

Je wewe ni mwanaume au mvulana????......naona tuanzie hapo ili nikushauri la kufanya.... very simple.
 
habari zenu wana MMU
Najuta kusema uongo na tamaa yangu ya mapenzi, mimi ni kijana wa kiume sijaoa nafanya kazi na kampuni fulani hapa rocky city. Mwezi januari nilihama sehemu niliyokuwa nimepanga nikapata chumba sehemu nyingine.
Nilipohamia mama mwenye nyumba anaishi na mdogo wake wa kike akaanza kuwa karibu na mimi sasa kidume nikarusha ndoano binti kakubari kutoa gegedo, baadaye dada mtu kainasa habari kuwa nakula mzigo kwa mdogo wake ikabidi amwambie mdogo wake anipe taarifa kuwa jion nimuone dada yake ana maongezi na mimi.
Maswali niliyokutana nayo katika kile kikao kati yangu na dada wa yule binti ni:
  • mdogo wangu nimemuuliza akasema ukweli kwamba una mahusiano naye, je mpango wako ni upi sasa,unakula mzigo na kuacha au una malengo ya kuoa?
  • Je huna mke au mpenzi mwingine?
majibu niliyompa ni kwamba siwezi kujibu maswali yako haraka na mapema mno.
Lakin kinachonifanya nijute ni kuwa mwezi June 2014 mpenzi wangu anakuja toka Dar kuja kuishi kwangu akiwa anafanya field na siwezi kuhama ile sehemu coz nimelipa kodi ya mwaka mzima na masharti ya mkataba wa pango ni kwamba mpangaji akihama kabla ya muda kuisha hela hairudishwi.
Kuepusha shari kati ya mama mwenye nyumba, mdogo wake(gegedo langu la sasa) na mpenzi wangu wa ukweli Nifanye? USHAURI WAKO NI MUHIMU NA SIYO MATUSI

kabla sijakupa mbinu za kumshambulia adui bila kukuona nikuulize kwanza. Huyo mchumba wako atakaa mda gani kwako? Nijibu hapo halafu twende pm nikupe mbinu hayo mambo madogo
 
Back
Top Bottom