sijui nijilaumu mm kuzaliwa Tz au nimlaumu Mungu kutunyima akili?
sijui nijilaumu mm kuzaliwa Tz au nimlaumu Mungu kutunyima akili?
sijui nijilaumu mm kuzaliwa Tz au nimlaumu Mungu kutunyima akili?
Dah kaka umewadiss wazazi .... futa uzi na ustakhafilu kabla ya jua halijazama.
Ni ushauri tu.
kama huna akili huna tu hata uzaliwe wapi!!! ila nadhani una maana unajuta kuzaliwa na wazazi wako! wala si nchi uliyo zaliwa!
Samahani, nilikuelewa vibaya maana picha siioni.mkuu nitake radhi sijawadis wazaz wangu ila ungeiona picha ungeweza hata kutoa mchozi, pambanua akili yako sio kila ukionacho au ukisikiacho ndivyo kilivyo,,,,