nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,349
- 3,904
Weekend hii kidogo nilichepuka ingawa sio kawaida yangu maana mamsapu kidogo hakuwa vizuri hasa kimwili. Basi huku huku nikamsalandia binti mmoja hivi mtaa wa pili naye bila hiyana akawa amekubali, tukakutana maeneo flani hivi ya kugewa tunda la kati hapo ndipo mambo yalipo chafuka.
Mwanaume nikaanza kujaza tairi upepo kupiga pampu kama tano hivi nikaanza kusikia harufu flani isiyo ya kawaida. Nikaanza kufoka mwenyewe yaani hawa jamaa wanaacha karo linajaa namna ile mpaka linatoa harufu mpaka inakuwa kero kwa wateja.
Kumbe bila kujua nilishahamishwa kitambo badala ya kujaza upepo kwenye tairi nimepewa kazi ya kuzibua karo wala hata gloves sijavaa. Ubaya tairi nilikuwa nalijaza upside down yeye akiwa ndiye dereva.
Tuwe makini namichepuko itatuuwa jamani
Mwanaume nikaanza kujaza tairi upepo kupiga pampu kama tano hivi nikaanza kusikia harufu flani isiyo ya kawaida. Nikaanza kufoka mwenyewe yaani hawa jamaa wanaacha karo linajaa namna ile mpaka linatoa harufu mpaka inakuwa kero kwa wateja.
Kumbe bila kujua nilishahamishwa kitambo badala ya kujaza upepo kwenye tairi nimepewa kazi ya kuzibua karo wala hata gloves sijavaa. Ubaya tairi nilikuwa nalijaza upside down yeye akiwa ndiye dereva.
Tuwe makini namichepuko itatuuwa jamani