Najuta kuoa


Basi bro nikutoe wasiwasi mkeo anakupenda wala usipate hofu ni suala la wivu ndilo linamsumbua alafu WIVU ni kipimo cha mapenzi anakuwa na wivu kwa kuwa ana hofu ya kukupoteza

Shemeji ako alinileteaga hizo inshu nikampa uhuru amua either uendelee na maisha yako au ubadlike mwaka wa tatu huu katulia muombe sana Mungu pia spirituality kwenye ndoa ni muhimu sana sema tunaichukulia poa....pia hudhurieni semina za ndoa zinasaidia sana ku renew vows zenu kuwafanywa wapya
 
Mkuu sasa mke wake akirudisha heshima kamchepuko atakako kuwa ametafuta akafanyeje? Akotose? Wakati kamemfuta chozi mke alipozingua.
 
anza kumla t*go
 
mpe likizo ya miezi sita akili imkae sawa kwanza
 
Ukileta mitazamo ya
- Jamii
- Dini
- Wazazi/ndugu
- Kiapo

Kwenye ndoa lazima udate. Natumaini ukifuata serikali ya kichwa chako bila kusikiliza mitazamo ya watu utamaliza tatizo lako. Maana naamini unamjua vizuri huyo dada.

Tumia udhaifu wake kumaliza tatizo kwa chanya au hasi.
 
Katafute mazezeta siku ya jumamosi kwenye maombi aliyoandaa @BASHITE ndio uwape hiyo story yako.
😅 😅 😅 hilo la wapi leo baba mkuu, la chooni. au! tangu lini akaandaa maombi huyu kijana?
 
Katafute mazezeta siku ya jumamosi kwenye maombi aliyoandaa @BASHITE ndio uwape hiyo story yako.
😅 😅 😅 hilo la wapi leo baba mkuu, la chooni. au! tangu lini akaandaa maombi huyu kijana?
 
Anaringa wakati nina mlipa mshahara wa kuwa Nyumbani kwangu, hata kuzalia kwangu ana lipwa! nimpe maisha yangu anipikie! nile! nioge! nilale nikorome! kwanza simuamini mpaka hapo!

Anasomeshewa.

Mahari nimetoa

Nyumba anajengewa! aishi yeye mie niko kazini mda wote!

namfurahisha heeee! baba mkuu

amekuroga huyo si bure! siku limbwata likisha nguvu, si kata funua hiyo!, mama yake atapokea mzigo robo robo! miguu na kiwiliwili kwenye Kiroba.
 
Mkishindwa kuishi pamoja..ACHANENI KWA AMANI
 
Nadhani title ya thread hii ingekuwa "NAJUTA KUOLEWA"
Hayo maelezo yote ni ya mtu aliyeolewa na sio kuoa...
 
Pole bosi

Tatizo lako hukujiandaa kuoa ungekuwa umejiandaa usingekuja huku

Tatizo jingine watu wanaoleta hoja kiwakandia wenzao ndio wabaya na no njia ya kificha ubaya wao ili kijifariji
 
Mpe zawadi kimoyomoyo Mkuu lazima atakuuliza kwanini huleti zawadi.... Mwambie nimekupa kimoyomoyo
 
Nadhani title ya thread hii ingekuwa "NAJUTA KUOLEWA"
Hayo maelezo yote ni ya mtu aliyeolewa na sio kuoa...
Mleta mada pambana na hali yako!! Mke mwema hutoka kwa bwana.
Sasa muache uone cha moto!! Ndo utapata mchawi kabisaaa!!!

Akutoe msukule ukome hata Jf hutaijua tena. Utalima wewe utafyamba wanaume zake mpaks ukome!!

Shukuru kumpata huyo wa ivo!!!! Unashindwa kuoa kinyemela dume zima.??

Yaani sipati picha!! Ulivo! Kilaza.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…