comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,014
- 6,834
Meja Jenerali John Walden a.k.a Black Mamba, mwanajeshi wa JWTZ, kiongozi wa Brigedi 207. Aliongoza mapambano ya Masaka na yale ya kuchukua makazi ya Idd Amin katika vita vya Kagera. Alizaliwa Tunduru 1939 kwa baba Muingereza na mama Mtanganyika. Alifariki na kuzikwa Mbeya 2002.
SOURCE: TWITTER
SOURCE: TWITTER