Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
Baada ya kuisikiliza na kuitafakari hotuba ya Nape akiwa Iringa nimejiuliza maswali lkn sijapata jibu. Hivi kwamba lowasa ana watoto ndugu jamaa na marafiki, Nape hajui? Kwamba ana wafuasi lukuki nalo bado halijui, na kama hajui je haoni? Kama Lowasa ha a sifa ya kugombea urais Si tume wasingempitisha? kama yote hayo neo hivyo, yanini basi Nape kujitafutia maadui wote hao kwa nguvu kubwa hivi? Mi naona kwa umri wake ni bora atambue umuhimu wa fursa wa sasa bila kusahau kuwa kuna maisha baada ya uchaguzi. Hii ni mbaya sana honestly na bado sijapima outcome kama ni plus au minus. Tanzania yetu ni bora na zaidi ya siasa jamani. Shine tidumishe amani.