BALAGASHIA
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 392
- 383
Najiuliza hivi kuna haja gani ya wana CCM kupaniki?kama upinzani umekubali kujimaliza wenyewe ya nini kununa?
Lissu kashtuka lakini naona vijana wa chadema wanacheza ngoma bila maarifa.
Niwaambie haya mnayoyaandika Leo vijana wa chadema yatakuja kuwahukumu kesho.
Kipindi cha Hayati JPM, CCM walizidiwa sana na wakajikuta muda mwingi wanacheza ngoma ya CHADEMA bila kijua.
Ila kwa sasa ni kama vijana wa chama fulani wanasubira fadhila.
Angalizo ;hakuna analolifanya mama Samia halafu halina baraka ya CCM.
Lissu kashtuka lakini naona vijana wa chadema wanacheza ngoma bila maarifa.
Niwaambie haya mnayoyaandika Leo vijana wa chadema yatakuja kuwahukumu kesho.
Kipindi cha Hayati JPM, CCM walizidiwa sana na wakajikuta muda mwingi wanacheza ngoma ya CHADEMA bila kijua.
Ila kwa sasa ni kama vijana wa chama fulani wanasubira fadhila.
Angalizo ;hakuna analolifanya mama Samia halafu halina baraka ya CCM.