Najitolea mbegu za kiume kwa anayehitaji

Najitolea mbegu za kiume kwa anayehitaji

Papaa Kinyani

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2013
Posts
1,457
Reaction score
699
Ninajitolea mbegu za kiume kwa mwanamke ambaye anahitaji mtoto na mumewe/mpenzi wake hana uwezo wa kutunga mimba. Mwenye kuhitaji awe tayari tupime afya kwanza. Nitafute inbox for more info.
 
Ninajitolea mbegu za kiume kwa mwanamke ambaye anahitaji mtoto na mumewe/mpenzi wake hana uwezo wa kutunga mimba. Mwenye kuhitaji awe tayari tupime afya kwanza. Nitafute inbox for more info.
ili biashara inoge onyesha sura usije kuwa kinyago
 
Duuuh hivi tumefikia hatua hiii siku hizi
 
ah,ah nmecheka sana aseeee.....ati we unatak utoe mbegu kwa mwanmke direct,si uende hospital wakahifadhi au ndo ukauze uko watu wakanunue? au unataka upate mtu yani mpenz kwa ajili y mambo ya kikubwa mkuu.
 
Ninajitolea mbegu za kiume kwa mwanamke ambaye anahitaji mtoto na mumewe/mpenzi wake hana uwezo wa kutunga mimba. Mwenye kuhitaji awe tayari tupime afya kwanza. Nitafute inbox for more info.
Zitakuwa mbovu hizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom