Hakuna unaemkomoa si ajabu hata vocha zenyewe huwekagi, na kama unaweka basi vijero na kulipa madeni tu.
yaan watu wachache na hasira zenu mnaungana et kuvunja lain za tigo, ili kuwakomoa, mnaakil kweli? yaan hao tigo wanaingiza wateja wapya kila siku na kamwe hawawez teteleka sabbu ya wajinga wachache wanaojitoa ktk huduma zao..
ukweli mchungu