Karibu,
Mwana weye ndiye Da Gama msafiri wa pale Magogoni au uzao huu wa Da Gama mrefu zaidi?
Maana kama ni wa Magogoni kuna watu walishaanza kusema umepunguza safari mwaka huu kwa kuwa umepoteza passport, wengine wakasema hapana kumetokea moto mdogo ulioanzishwa na pasi ukaishia kwa kuunguza pasi-poti.
Mi nikawanong'oneza "Yule "Da Gama" wa Magogoni Msafiri kafiri, hahitaji hata pasi anapeta bandari au kiwanja chochote" labda anagoja zamu ya kupungwa Bwagamoyo mwaka huu tu. Si unajua muhula wa urithi unanukia?
Sasa we Da Gama, DaGama au Dagaa, ama ?