Acha kujimwambafai hajakuuliza unafundisha wapi,wewe ni muhaya nini?Asante sana Rebeca.
Applied Psychology. (Pia kwenye Saikolojia ya Jamii, Tabia, Malezi na Makuzi, Mahusiano, Hisia, Elimu n.k
Kwa sasa nafundisha Saikolojia (IBDP) Aga Khan Education Service Tanzania
Sisi wenye mipango ya kuja kusababisha maafa na matatizo hapo miaka ya hapo mbele unatuweka kundi gani, hasa mimi. Tatizo kisaikolojia inaweza kuwa nini.
Wèee nae ndo nini kumchanganyia ma fileHaya nimekuelewa ila occupational na industrial psychology is the same thing
Karibu sana,ila.Mbona umefanana na february makamba
Labda nimsaidie sio mbaya kama hutumii na ni mbaya kama ukitumia kuzidishaKaribu mkuu
Swali la kizush eti pombe ni mbaya?
Basi una akili kama zanguNilitaka nimuulize hivyo sema tuu nikapotezea
Asante. Ubaya wa kitu upo kwenye matumizi sawa na ilivyo kwenye vile vinavyodhaniwa kuwa vizuri. Mara nyingi ubaya wa pombe umekuwa ukionekana kwenye matokeo ya wanaoitumia, mfano ugomvi, lugha za matusi, kupuuza yaliyo ya msingi n.k.Karibu mkuu
Swali la kizush eti pombe ni mbaya?
Asante. Ubaya wa kitu upo kwenye matumizi sawa na ilivyo kwenye vile vinavyodhaniwa kuwa vizuri. Mara nyingi ubaya wa pombe umekuwa ukionekana kwenye matokeo ya wanaoitumia, mfano ugomvi, lugha za matusi, kupuuza yaliyo ya msingi n.k.
Na kama haikubugudhi wewe kwenye masuala mengine ya kimaisha... kila la kheri. Maana wapo wasiotumia pombe lakini bado hawatoshi kwenye jamii zao. Na wapo wanaokunywa nawanaendelea kuwa wa manufaaKwa hyo nikinywa nisipo mbuguzi mtu haina ubaya?
Salaam
Naitwa Justus August
Mtaalam wa Saikolojia (applied psychology) View attachment 1225260naomba mnipokee
AiseeeeeeeeeeeeSalaam
Naitwa Justus August
Mtaalam wa Saikolojia (applied psychology) View attachment 1225260naomba mnipokee