Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Nataka kwenda kula sasa hivi, wewe je?
Ugali wa muhogo na samaki aina ya sato wale wakubwa toka ziwa victoria.Chakula kipi ? Naomba ufafanuzi.
huku JF hakuna mamantilie
itabidi tuzungumze kule PMniko hapa mama ntilie nani anataka kupakuliwa nikutilie mchuzi au andazi we chapati we muhogo we maharage nimeshakupa ngoja basi nikujazie mie ndo mama ntilie nani ana njaa bakuli sh mia tu
itabidi tuzungumze kule PM
niko hapa mama ntilie nani anataka kupakuliwa nikutilie mchuzi au andazi we chapati we muhogo we maharage nimeshakupa ngoja basi nikujazie mie ndo mama ntilie nani ana njaa bakuli sh mia tu