Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,796
- 32,148
Hi
Leo mchna nikiwa nimetulia kaja Jamaa mmoja hivi mpemba tunapiga story najua anafunga gafla anaomba nynya na kitunguu na chumvi akidai njaa nikampa baada ya muda nasikia anaomba mboga tukamuuliza ujafunga kwahiyo
Alichojibu tulibaki mdomo wazi et hawezi mkewe anajua anafunga na katupa biti olewenu mnitangaze kuwa sifungi nilicheka sana mpka sasa
Mam huwezi kufunga kula kwa uwazi tu si kujificha utudanganyi sis
Leo mchna nikiwa nimetulia kaja Jamaa mmoja hivi mpemba tunapiga story najua anafunga gafla anaomba nynya na kitunguu na chumvi akidai njaa nikampa baada ya muda nasikia anaomba mboga tukamuuliza ujafunga kwahiyo
Alichojibu tulibaki mdomo wazi et hawezi mkewe anajua anafunga na katupa biti olewenu mnitangaze kuwa sifungi nilicheka sana mpka sasa
Mam huwezi kufunga kula kwa uwazi tu si kujificha utudanganyi sis