Najisikia mpweke sana

Najisikia mpweke sana

Mmh haya bwana, ni kuomba hii hali isitokee kumbe
Ni kuomba tu isikutokee au hata ikikutokea basi unaomba Mungu akupitishe salama. Ndo maana unaweza ukasikia tu ghafla mtu fulani amejiua/ kajinyonga while nyie mlikuwa mnamuona yupo kawaida tu, but kumbe moyoni alikuwa analia Peke ake na alivyoona hakuna mtu anayesikia kilio chake ndo mnakuja kusikia fulani kanywa sumu. Ni Vitu vidogo ukiviongelea kwa story tu but vina madhara makubwa sana
 
huenda kuna life style flan uliizoea and nw haipo tena,cha msingi fanya observation juu ya chanzo cha wewe kuwa hvyo then rudi humu humu.
 
Sijajua sababu ni nini jamani ila najisikia mpweke kama nimeachwa na kla mtu vile.

Nisaidieni nifanye nini wadau

napitia pia hyo hali najihisi mpweke nilichoamua n kuanza kusoma post za hum jamvini hata za zaman nmejkuta nmechangamka nacheka peke angu
 
Mkuu pole sn,hali hiyo kwangu ni mara 100 dhidi yako,ila me sababu naijua,na suluhisho nimekuwa nakunywa sana chuichui.
 
Tafuta Sabuni, Ya Dettol, Au mafuta Ya Mgando, Hii Itakupunguzia Upweke.
 
Hali hii huwatokea watu wengi sana, na mara nyingi hutokea baada ya kubadilisha vitu mbalimbali. Mf: makazi, dini, kutofautiana na rafki yako wa zamani, wakati wa machaguo nk.
But ni hali ya kawaida, itaisha tu.
 
hii hali huwa inawatokea wengi tu cha kufanya keep busy kusoma vitabu ila sometimes unaweza kujikuta hukielewi unachokisoma we angalia movies(indian love stories) am sure upweke wako utapungua na utajihisi kama upo na bhumika chaula

Akiangalia hayo malove story ataishia kulia na kujiona mwenyr mkosi.
Ukiwa mpweke sio vema kuangalia love story.
Apigr zake mathriller na ma action atapata faraja.
 
Dada angu hilo tatizo linawapata sana watu hasa wenye msongo wa mawazo......... Au stress inayopelekea kuwa na LOW SELF ESTEEM........ Unafika wakati kila unachokifanya hakiendi unaona ulimwengu umekuangukia....... Then ambao unawachukia ndo wanafanikiwa zaid........ Nakushaurii usijilinganishe nao kwa kipato wala kwa chochote...... Do yo thing....... Ni PM kwa therapy zaid asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom