swahiba daima
Member
- Apr 28, 2015
- 97
- 10
- Thread starter
- #21
Uciumize nafsi yako kwa watu wasio na mpango na wewe. Jitulize jipe raha kwa namna yo yote. Jisahaulishe na upige hatuambele. Samehe ili hasira ikutoke. Maisha ni yako hakuna atayekuendeshea maisha yako. Huoni wao wanasonga mbele km vile u dont exist?? Kuna watu na viatu. Kwa ushauri zaidi ni PM.GDAY
Asante Mamitodi, naku pm sasa hvi jamani