Hilo tatizo dogo sana mtu life is too short tafuta mausiano mazuri na moyo wako jichangaye na watu wengine kama unahitaji kampeni tupo wengi we sema uko wapi tukolupe raha za duniani why unajikera mbali na hao wana ok usumbufu hama hata mtaa a MkoaChaputa oyeeeee
Those times my nigga
Hilo tatizo dogo sana mtu life is too short tafuta mausiano mazuri na moyo wako jichangaye na watu wengine kama unahitaji kampeni tupo wengi we sema uko wapi tukolupe raha za duniani why unajikera mbali na hao wana ok usumbufu hama hata mtaa a Mkoa
swahiba daima
We ni jinsia gani ??? kwa maana dawa ya upweke ni kupata faraja na aina ya faraja huendana na jinsia uliyoko
Sijajua sababu ni nini jamani ila najisikia mpweke kama nimeachwa na kla mtu vile.
Nisaidieni nifanye nini wadau
Sijajua sababu ni nini jamani ila najisikia mpweke kama nimeachwa na kla mtu vile.
Nisaidieni nifanye nini wadau
naona watu wamejitenga na mimi. ila nina hasira sana na baadhi ya watu ambao wanataka niwanyenyekee bila sababu kwa sababu wanafurahi wakiina nawapigia magoti. niameamua sitabembeleza tena mtu sasa wanasema numebadilila ghafla. nina hasira sana dhidi yao
Sijajua sababu ni nini jamani ila najisikia mpweke kama nimeachwa na kla mtu vile.
Nisaidieni nifanye nini wadau
Haupo karibu na watu, una shida zako lakini huna wa kumshirikisha, mbebs nae ana time zake tu hajali,lazma utajisikia hivo pole....
Fanya kitu cha kukuweka bize
Kuna vitu najaribugi kuimagine lakini sipatagi picha vikoje, mbona mi hii hali sijawahi experience? yaani eti sijui mpweke, kukosa faraja, isolated sijui hata vikoje kwa kweli. Sielewagi hata vikoje, ndo nini?
cc atoto, Heaven Sent leo ndo sijui mko bize na kampeni, ntawapepea tu Oct 25 is coming
Hawayu my kaka?
Haupo karibu na watu, una shida zako lakini huna wa kumshirikisha, mbebs nae ana time zake tu hajali,lazma utajisikia hivo pole....
Fanya kitu cha kukuweka bize
Fine my sis, why no see today?
Namimi najisikia kama huyo bwana what do i have to do my dear
Kuna vitu najaribugi kuimagine lakini sipatagi picha vikoje, mbona mi hii hali sijawahi experience? yaani eti sijui mpweke, kukosa faraja, isolated sijui hata vikoje kwa kweli. Sielewagi hata vikoje, ndo nini?
cc atoto, Heaven Sent leo ndo sijui mko bize na kampeni, ntawapepea tu Oct 25 is coming
Teh me huko kwenye siasa sipo kabisa. Pressure za kayumba ziloshanitisha
Broo hakuna kitu kibaya kama upweke. Unaweza ukafa kwa sonono kabisa. Inatokeaga sana especially Inapotokea umepoteza kitu, Iwe mahusiano, kazi, mpendwa amefariki etc. Ukikaa ndani ukalia Peke angu, tutakupoteza. Unachohitaji ni watu wa kukutia moyo, wakukeep busy ili usiwe na yale mawazo mabaya.
Kuwa isolated, inatokea sana especially pale unapokuwa unakosa kibali mbele za watu au unajikuta wewe ni mtu wa kukimbilia Sana wenzako wakiwa na matatizo afu siku yakikukuta wewe nobody is there for you.
Au Unajitahidi kufanya Vitu vizuri au kuwasaidia watu but hakuna anayeona mazuri yako wala kuappreciate. Unatamani atokee mtu akwambie tu "umejitahidi sana". Kuna watu wana vitu vizuri sana ndani yao, but yanahitaji watu wa kuwaambia "you can do it".yani neno moja tu linaweza likabadilisha kabisa maisha ya mtu.