swahiba daima
Member
- Apr 28, 2015
- 97
- 10
Sijajua sababu ni nini jamani ila najisikia mpweke kama nimeachwa na kla mtu vile.
Nisaidieni nifanye nini wadau
Nisaidieni nifanye nini wadau
nakushauri, tumia muda huu kusoma vitabu vya mungu. Hasa kwa habari za yesu huku ukiomba. Hakika hali hiyo itakoma.
Be blessed
Kwa nn ujisikie hivyo? Nini kimekutokea? Tiririka upate ushauri stahiki
jiunge na chaputa huko mtasocilize
Sijajua sababu ni nini jamani ila najisikia mpweke kama nimeachwa na kla mtu vile.
Nisaidieni nifanye nini wadau
naona watu wamejitenga na mimi. ila nina hasira sana na baadhi ya watu ambao wanataka niwanyenyekee bila sababu kwa sababu wanafurahi wakiina nawapigia magoti. niameamua sitabembeleza tena mtu sasa wanasema numebadilila ghafla. nina hasira sana dhidi yao
Sasa hiyo hasira uliyoijenga moyoni mwako ndo inakutafuna.... Just let it go na utajisikia mwepesi sana... Mradi ushajitambua kuwa hutaki kunyeyekea watu thats it!!! Huna haja ya kuweka kinyongo and the worst part is hao uwawekeao kinyongo they dont even think about your pain so ukitaka amani ya moyo learn how to control your anger...!!!
Pole Hilo swala lilinitesaga mno yani, na bado naona linanitesa PIA hata kwa sasaTutafutane
Tutafutane
Nakushauri, tumia muda huu kusoma vitabu vya Mungu. Hasa kwa habari za Yesu huku ukiomba. Hakika hali hiyo itakoma.
Be blessed
Sijajua sababu ni nini jamani ila najisikia
mpweke kama nimeachwa na kla mtu
vile.
Nisaidieni nifanye nini wadau
naona watu wamejitenga na mimi. ila nina hasira sana na baadhi ya watu ambao wanataka niwanyenyekee bila sababu kwa sababu wanafurahi wakiina nawapigia magoti. niameamua sitabembeleza tena mtu sasa wanasema numebadilila ghafla. nina hasira sana dhidi yao
jiunge na chaputa huko mtasocilize