Najisikia Mnyonge Sana!

Companero

Platinum Member
Joined
Jul 12, 2008
Posts
5,609
Reaction score
1,734
Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi, Kimwili, Kiakili, Kihisia na Kiroho!
 
Pole sana mkuu, angalia usije pata unyogovu (depression) tu
 
Wakati huo huo bila shaka kuna kundi la watu ku'rejoice' na kufaidika kutokana na unavyojisikia. Pole sana bana. ndo systems zilivyo.
 
Pole sana mkuu, angalia usije pata unyogovu (depression) tu

Naona huo msongo umeshanipata. Sioni nuru mwisho wa pango. Utusitusi tu umetawala - Kiwi cha macho cha Chonya wa Chilonwa!
 
Naona huo msongo umeshanipata. Sioni nuru mwisho wa pango. Utusitusi tu umetawala - Kiwi cha macho cha Chonya wa Chilonwa!

Pole. Unakumbuka ule msemo 'kutesa kwa zamu'? Yana mwisho hayo yanayokukosha raha, kesho yataenda kumsumbua mwingine na wewe utajisikia raha tu.
 
Pole. Unakumbuka ule msemo 'kutesa kwa zamu'? Yana mwisho hayo yanayokukosha raha, kesho yataenda kumsumbua mwingine na wewe utajisikia raha tu.

Mkuu....umesema vyema. Ni swala la muda Tu......mku companero, take it easy. Mula mm naona mwanga tens mkali mbele.
 
Mkuu....umesema vyema. Ni swala la muda Tu......mku companero, take it easy. Mula mm naona mwanga tens mkali mbele.

binam ulikuwa unakimbilia wapi.....pole companero hayo ni mambo ya maisha, usijali yataisha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…