ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,593
- 56,831
1.Ni muda mrefu sasa sijapost thread yoyote nimekuwa na maisha mazuri Sana japo yenye changamoto nyingi.mambo ni mengi but najiskia pia faraja hatimaye nimekuwa Baba,Baba grace amezaliwa ana kama week mbili ni faraja kwa familia yangu hasa ukizingatia hofu Ile ya matumizi ya pombe Kali kwa muda mrefu unaweza ukahisi mbegu hazina Ishu.
2.kuhusu mambo ya kazi na maisha niseme tu kiukweli Nilipata/ninapata pesa nzuri Sana ndani ya miezi hii tuseme mitatu iliyopita inaniwezesha Ku sustain maisha na kufuatilia mambo yangu ya msingi zaidi
3.kuhusu siasa bhana kiukweli mood yangu inazid kwenda chini Sana sioni kabisa kama kuna changes yoyote Tanzania tutaishuhudia.lissu ni ndugu yangu wa nyumbani ila kiukweli ni kama anajipambania mwenyewe aachane na watanzania wengi wako busy na Simba na yanga hawana time na harakati za kisiasa.najua changes huanzia chini ila kwa nature ya nchi yeti mambo ya kick na ujinga mwingi sioni kama anatoboa kutushawishi.
4.Nimepata opportunity ya SCHOLARSHIP kusoma nje naomba nisifunguke Sana kuhusu hilo..ni fursa nzuri kwangu me ni mtu wa watu nimejaliwa familia nzuri,watu wakubwa history nzuri,siha nzuri,mke mzuri,kazi nzuri kiasi chake,I can shake hands with many people,Niko active, binafsi siamini kbs mambo za uchawi mshana utanisamehe uujue msimamo wangu maana sijakutana na mambo za ajabu na naimani sijakutana nazo in my lifetime mwishoni lazima ni ku quote WEWE.
5.binafsi sipendi mtu amumkandamize mtu hasa kwenye haki yake mfano mtu posho yake anayostahili ambayo imepangwa unamlia aisee binadamu wa hivyo namuona muuaji..napenda kuongea na watu waujue uwezo wangu wa kutoa facts Ambazo niwe mkweli hii skills ya kuelezea kitu kwa facts nimeitoa jamiiforum.
6.pamoja na yote kuna vitu viwili vinaniumiza Sana ,hizi dhambi mbili zinanitesa jumla jumla.UASHERATI+ULEVI...ni hizo tu ndizo zinaniumiza Sana sipaswi kuelezea sana ila naimani mnajia kuhusu ngono,punyeto, ULEVI pombe,kamari uongo,uchafu,uvivu etc..sipendi hayo mambo lakini changamoto kama alivoelezea chidi kwenye majuto yake haya mambo solution yake ni KUHAMIA UPANDE WA MUNGU TU.kama kuna mlokole yoyote ambaye kaokoa ndani kwa ndani sio mtu wa makanisa kaokoa Tu nafsi yake naomba anasaidia mawasiliano.
7.Siamini kuhusu eti mapungufu kwamba hatujakamilika hapana me naona tunafanya yote kwa utashi kabisa maana kabla ya kutekeleza dhambi mojawapo Una pata muda wa kutafakari.
HITIMISHO
8.Leo nilikuwa napita site kutembelea maeneo Fulani yenye miti ya asili ghafla ikanijia AKILI hivyi tuseme hakuna Mungu hivi Nani kaamua kuwe na variety mbalimbali za miti,mazao,viumbe, mifumo,aisee naona tuweni seriously mambo kweli ni mengi katika maisha lakini
Mungu yupo na amepanga yawepo na ametupa muda kurekebisha makosa yetu kabla ya kifo kutukuta.nyosha mikono safi juu mwambie mungu nichukue na hakika utakufa kifo cha amani moyo wako ndo unaamua ufe pole pole bila maumivu au ufe kikatili japo wapinga mungu najua watani challenge kuniambia mbona vifo vya wafia dini vilikuwa vya kikatili jibu ni kwamba sijui kuhusu undani wa mioyo yao kila mtu ana ji judge mwenyewe na kujijua mwenyewe ila mungu yupo dunia isingetokeza kuwa na kila kitu muhimu kwa maisha.
9.Tubu uliyofanya ni mengi na ni ya aibu ila msamaha upo kama ukibadilika ukaacha mabaya na uka recommend mema tu katika maisha yako.
10.siamini kauli ya kwamba eti binadamu kaumbiwa mapungufu,sio malaika.. Hapana kwa kweli tunavutwa dhambini na tamaa zetu wenyewe .. Binafsi natamani kweli niache dhambi zangu niingie kwenye amani ya mungu wa kweli mungu wa ndani ya mioyo yetu.dunia hii ya kuenjoy pombe na ngono au picha za uchi uchi za muziki na video sizipendi nahitaji kampan ya mtu anahitaji kuchange life for real..
Nb:Nayasema haya sijalewa sana nimeonja kakonyagi size ya kati tu najitambua nawasilisha nilichokiwaza mchana.
2.kuhusu mambo ya kazi na maisha niseme tu kiukweli Nilipata/ninapata pesa nzuri Sana ndani ya miezi hii tuseme mitatu iliyopita inaniwezesha Ku sustain maisha na kufuatilia mambo yangu ya msingi zaidi
3.kuhusu siasa bhana kiukweli mood yangu inazid kwenda chini Sana sioni kabisa kama kuna changes yoyote Tanzania tutaishuhudia.lissu ni ndugu yangu wa nyumbani ila kiukweli ni kama anajipambania mwenyewe aachane na watanzania wengi wako busy na Simba na yanga hawana time na harakati za kisiasa.najua changes huanzia chini ila kwa nature ya nchi yeti mambo ya kick na ujinga mwingi sioni kama anatoboa kutushawishi.
4.Nimepata opportunity ya SCHOLARSHIP kusoma nje naomba nisifunguke Sana kuhusu hilo..ni fursa nzuri kwangu me ni mtu wa watu nimejaliwa familia nzuri,watu wakubwa history nzuri,siha nzuri,mke mzuri,kazi nzuri kiasi chake,I can shake hands with many people,Niko active, binafsi siamini kbs mambo za uchawi mshana utanisamehe uujue msimamo wangu maana sijakutana na mambo za ajabu na naimani sijakutana nazo in my lifetime mwishoni lazima ni ku quote WEWE.
5.binafsi sipendi mtu amumkandamize mtu hasa kwenye haki yake mfano mtu posho yake anayostahili ambayo imepangwa unamlia aisee binadamu wa hivyo namuona muuaji..napenda kuongea na watu waujue uwezo wangu wa kutoa facts Ambazo niwe mkweli hii skills ya kuelezea kitu kwa facts nimeitoa jamiiforum.
6.pamoja na yote kuna vitu viwili vinaniumiza Sana ,hizi dhambi mbili zinanitesa jumla jumla.UASHERATI+ULEVI...ni hizo tu ndizo zinaniumiza Sana sipaswi kuelezea sana ila naimani mnajia kuhusu ngono,punyeto, ULEVI pombe,kamari uongo,uchafu,uvivu etc..sipendi hayo mambo lakini changamoto kama alivoelezea chidi kwenye majuto yake haya mambo solution yake ni KUHAMIA UPANDE WA MUNGU TU.kama kuna mlokole yoyote ambaye kaokoa ndani kwa ndani sio mtu wa makanisa kaokoa Tu nafsi yake naomba anasaidia mawasiliano.
7.Siamini kuhusu eti mapungufu kwamba hatujakamilika hapana me naona tunafanya yote kwa utashi kabisa maana kabla ya kutekeleza dhambi mojawapo Una pata muda wa kutafakari.
HITIMISHO
8.Leo nilikuwa napita site kutembelea maeneo Fulani yenye miti ya asili ghafla ikanijia AKILI hivyi tuseme hakuna Mungu hivi Nani kaamua kuwe na variety mbalimbali za miti,mazao,viumbe, mifumo,aisee naona tuweni seriously mambo kweli ni mengi katika maisha lakini
Mungu yupo na amepanga yawepo na ametupa muda kurekebisha makosa yetu kabla ya kifo kutukuta.nyosha mikono safi juu mwambie mungu nichukue na hakika utakufa kifo cha amani moyo wako ndo unaamua ufe pole pole bila maumivu au ufe kikatili japo wapinga mungu najua watani challenge kuniambia mbona vifo vya wafia dini vilikuwa vya kikatili jibu ni kwamba sijui kuhusu undani wa mioyo yao kila mtu ana ji judge mwenyewe na kujijua mwenyewe ila mungu yupo dunia isingetokeza kuwa na kila kitu muhimu kwa maisha.
9.Tubu uliyofanya ni mengi na ni ya aibu ila msamaha upo kama ukibadilika ukaacha mabaya na uka recommend mema tu katika maisha yako.
10.siamini kauli ya kwamba eti binadamu kaumbiwa mapungufu,sio malaika.. Hapana kwa kweli tunavutwa dhambini na tamaa zetu wenyewe .. Binafsi natamani kweli niache dhambi zangu niingie kwenye amani ya mungu wa kweli mungu wa ndani ya mioyo yetu.dunia hii ya kuenjoy pombe na ngono au picha za uchi uchi za muziki na video sizipendi nahitaji kampan ya mtu anahitaji kuchange life for real..
Nb:Nayasema haya sijalewa sana nimeonja kakonyagi size ya kati tu najitambua nawasilisha nilichokiwaza mchana.