Najipa likizo mi bossy wakupost

katoto kazuri

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6,126
Reaction score
5,762
Jamani napumzika kisa nimekuwa naandika post kama nimeajiriwa humu na comment kama na pewa posho shule yenyewe masomo magumu.
So najipa break nisome kwanza shule ningumu kudeal nayo na nimechagua?JF
Kuisitisha kwanza Ngoja nijipe hewa.
Baadae.
 
Nipe sababu moja tu kwa nini hutaki
Wewe kama wewe umechelewa tayari kutwa na toa mabango humu nahitaji mtu huwi serious ila kaja mtu serious nahana mtoto wala mke wala wakuzugia umeona nikija mtanashati mwelewa mcha Mungu na mengi tu ndio kanikubali the way i am tena yupo maeneoa ninayoishi.
 
Sawa boss wangu wa kupost kama nimekukosa wewe sioi tenaa
 
Tupumzike na nyuzi zisizo na mbele wala nyuma
Ila ukweli kuhusu wewe kantwe unapenda masifa kujiona na pia unapondeaga wenzako kama wewe unachocomment cha maana mimi sipost ili wewe usome mimi napost ili wasome wanaoona wamaana na let me tell you something one thing maishani usiishi wanadamu wanavyotaka just ishi kama kama wewe unavyotaka.
Namaisha sio kuogopa watu nikuface watu .
Kwa hiyo wewe sio mtu wa kuniambia chakufanya kwa sababu hata hili bando hujalinunua wewe.
 
Utajiju
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…