Najiandaa kumpokea Balali

Najiandaa kumpokea Balali

Status
Not open for further replies.
hakika mchakato huu utawatengenezea uadui mkubwa viongozi wakubwa wa CCM (MA'CCM) wataumbuana sana baada ya hili:A S-fire1::A S-fire1:
Hata kifo cha Mwalimu si muda mrefu watatueleza, tuwe na subira.
 
vifaranga wa fisadi mtapata sana shida.
endeleeni kuumia.

Yes najiandaa,kwani Lowassa aliahidi kwamba siku CCM itakapothubutu kumwengua na kulikata jina lake kama mtia nia wa urais wa CCM kwa namna yeyote basi yeye atamleta Daudi Balali,mtu muhimu na shahidi mahususi kwenye scandal kubwa ya ufisadi wa EPA,mtu aliyetoweka kama upepo huku Watanzania wakiwa na maswali mengi ya kumwuliza,mtu alishikwa na maradhi ya tumbo ya gafla na hatimaye umauti.

Tayari Lowassa ameunguliwa kwenye kinyang'anyiro cha urais CCM,sasa watanzania wanasubiri kuona kama atatimiza ahadi yake ya kumleta Balali Bongo,mtu tuliyeaminishwa amekufa na tukaoneshwa na Meena mpaka kabuli lake kutoka huko Gate of Heaven Marekani.

Je ataendelea kuwa kimya kama alivyokuwa kimya kwenye issue za Richmond ama atathubutu?


"Hata Kisu kina Kata but hakina Diwani"
 
Hizo zilikuwa siasa usije kulala mlango wazi kusubiri yasiyowezekana. Mara zote mmekuwa mkiaswa muwe mnaongeza na za kwenu kwa kila mnaloambiwa. Ona sasa......



Usipotuliza kichwa inakuwa ngumu sana kuelewa maandiko yangu
 
Asalaam wanajamvi! wenzangu
Kama mtakumbuka kipindi Mh.EL anatafuta wadhamini mikoa mbalimbali hapa nchini ktk harakati zake za kutaka kuingia pale magogoni,kulizuka uvumi mkubwa endapo nia yake hiyo ingekatishwa na wenzake basi angefanya maamuzi magumu ya kumrudisha yule bwana mkubwa wa ile skendo ya EPA na aliyekuwa mkuu wa BOT ambaye kuna tetesi inasemekana amejificha na anakula maisha kule kwa kina Obama.
Akhsante! Naomba kuwasilisha
 
Ndugu yangu, Tanzania kuna mitambo ya kupika majungu. Watanzania wengi ni wazushi na niwavivu kufikiria. Walimshangilia sana JK wakati anaingia madarkani, walimshambulia sana EL wakati wa Richmond scandal. Leo wanamtaka sana EL. Amini Balali alikufa tena kwa kulishwa sumu.

Yupo marekani state gani? je kuna raha gani kuishi kwa kujificha? Je ni scendo ngapi so far baada ya ile ya EPA na mbona wezi wapo mtaani tena wamekuteulia mgombea wa urais kupitia CCM!
 
Asalaam wanajamvi! wenzangu
Kama mtakumbuka kipindi Mh.EL anatafuta wadhamini mikoa mbalimbali hapa nchini ktk harakati zake za kutaka kuingia pale magogoni,kulizuka uvumi mkubwa endapo nia yake hiyo ingekatishwa na wenzake basi angefanya maamuzi magumu ya kumrudisha yule bwana mkubwa wa ile skendo ya EPA na aliyekuwa mkuu wa BOT ambaye kuna tetesi inasemekana amejificha na anakula maisha kule kwa kina Obama.
Akhsante! Naomba kuwasilisha


Kama kashindwa kuwa rais wa JMT ataweza mrudisha mfuuuuu?
 
Nimesoma gazeti mwanahabari
Lowassa anajua mahali balali alipo je ataweza kumleta?
www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=273246&stc=1&d=1438595650
 
Coming October Ballali atapokelewa Airport kwa uwazi na ataongea na waandishi wa habari ...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom