KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,749
- 8,996
Kutokana na kasi ya mitandao,matukio yanayofanana,Nape kutishiwa,Vyombo vya Habari kususia na Wabunge wa ccm kusema wazi sasa ni dhahiri mwisho wake umefika hata Mh Rais, nadhani analifikiria sana kwani hali siyo nzuri kabisa katika upande wake.
Haya ni mawazo binafsi.
Haya ni mawazo binafsi.