Daah..mimi kwenye suala la mtu kutafuta kazi nikishaonaga tu hizi kauli, hata nikiwa na kazi sikupi..Maisha yangu ni magumu ......... Naombeni msaada.
Nilitaka nimuweke kwenye kijiwe changu cha chipsi, ila umeniogopeshaMbona sasa heading na uzi unaonyesha muhitaji wewe?
Wewe inaonyesha hata hiyo picha ya huyo mdada umeweka ili uvutie lengo lako..!!
Itoe acha kudhalilisha watu..
Utakuta amebeba hadi kabati la chipsi umeachiwa manyoya tuNilitaka nimuweke kwenye kijiwe changu cha chipsi, ila umeniogopesha
Nyakati hizi uaminifu umepotea sanaUtakuta amebeba hadi kabati la chipsi umeachiwa manyoya tu
[emoji23][emoji23][emoji23]Hii id huwa ina habari na hoja mchanganyiko, kuna siku inatafuta mke kuna siku inatafuta mme....ina mambo mengi sana
[emoji23][emoji23][emoji23]
Uhausigel utaweza?Naitwa jasmine saidi Maisha yangu ni magumu Nahitaji kazi elimu yangu kidato cha nne Miaka 29 Naombeni msaada.
Mawasiliano +255 793 306 516
Labda ni upindeKuna siku alijipost ni mshangazi ana vipini kila kona ya mwili, kuna siku kajipost ni mkaka anauza sijui nini 🤦🤦🤦 wanajf tunavurugwa sana 😂