Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,600
- 95,273
😹😹😹 Bro humu ni kukaa kimasta matapeli ni wengi..!!Hii id huwa ina habari na hoja mchanganyiko, kuna siku inatafuta mke kuna siku inatafuta mme....ina mambo mengi sana
😹😹😹 Bro humu ni kukaa kimasta matapeli ni wengi..!!Hii id huwa ina habari na hoja mchanganyiko, kuna siku inatafuta mke kuna siku inatafuta mme....ina mambo mengi sana
Tunaomba namba ya mwajiri wako wa mwishoNahi
taji msaada pls
Mbona sasa heading na uzi unaonyesha muhitaji wewe?Mm nimeweka tu
Kumbe sio ww?Anahitaji msaada
Yupo arusha
Mpigie pls
Tupe historia fupi kuhusiana na kazi ulizowahi kufanya
Kuna siku alijipost ni mshangazi ana vipini kila kona ya mwili, kuna siku kajipost ni mkaka anauza sijui nini 🤦🤦🤦 wanajf tunavurugwa sana 😂😹😹😹 Bro humu ni kukaa kimasta matapeli ni wengi..!!
Hii JF nayo inahitaji reforms 😹😹Kuna siku alijipost ni mshangazi ana vipini kila kona ya mwili, kuna siku kajipost ni mkaka anauza sijui nini 🤦🤦🤦 wanajf tunavurugwa sana 😂
Dada naomba kaziHii JF nayo inahitaji reforms 😹😹
Wale wa TASAF sio maskini wanaitwa "Walengwa"Maskini upo Tanzania? Huku wote tupo uchumi wa kati maana waliopaswa kuitwa maskini wapo kwenye mpango wa TASAF.
Nakubali nakwakua wanalipwa mshahara nao wapo Uchumi wa kati.Wale wa TASAF sio maskini wanaitwa "Walengwa"
Mkuu shemeji yetu Marry Diana mzima?Hakuna Jasmine hapo mkuu.
View attachment 3413053
Mbona tumesha achana kitambo kaka!Mkuu shemeji yetu Marry Diana mzima?
Weka picha yko umetokea mwili mzima kuna kazi nikuconnect maana utapeli umezidi mkuuNaitwa jasmine saidi Maisha yangu ni magumu Nahitaji kazi elimu yangu kidato cha nne Miaka 29 Naombeni msaada.
Mawasiliano +255 793 306 516
Sawa!!Mbona tumesha achana kitambo kaka!
Pamoja.Sawa!!
Siku kama ya Leo inatafuta Kazi!!Hii id huwa ina habari na hoja mchanganyiko, kuna siku inatafuta mke kuna siku inatafuta mme....ina mambo mengi sana