mjasiliamali makini
Senior Member
- Jan 16, 2018
- 105
- 134
Wakuu pole na miangaiko ya hapa na pale napenda kuitambulisha kampuni yangu mpya inaitwa FOEMA COMPANY LIMITED
Kampuni yangu itajihusisha na huduma zifuatazo:
-Growing of Vegetables and melons,roots and tubers
-Mixed farming
-Manufacture of grain mill products
-CATERING AND SERVICES
Hivyo basi naomba wanajf mnisaidie kwanza kwa mambo yafuatayo-;
=Jinsi ya kuandaa tenda docs na kupata tenda kwa ujumla.
=Pili jinsi ya kutengeneza mfumo mzuri wa usimamizi wa fedha.(digital)
=Pia tuko tiyali kwa kazi hivyo kama kuna mtu anatamani kufanya kazi na kampuni yetu tafadhali naomba usisite kututafuta
HUDUMA TUNAYOANZA NAYO NI,
(Catering services )hivyo natamani msaada hasa upande huu wa catering services
Kwa mawasiliano,,email companyfoema@gmail.com, mujuni2244@gmail.com
Ahsante na nitashukuru kwa kuniunga mkono.
Kampuni yangu itajihusisha na huduma zifuatazo:
-Growing of Vegetables and melons,roots and tubers
-Mixed farming
-Manufacture of grain mill products
-CATERING AND SERVICES
Hivyo basi naomba wanajf mnisaidie kwanza kwa mambo yafuatayo-;
=Jinsi ya kuandaa tenda docs na kupata tenda kwa ujumla.
=Pili jinsi ya kutengeneza mfumo mzuri wa usimamizi wa fedha.(digital)
=Pia tuko tiyali kwa kazi hivyo kama kuna mtu anatamani kufanya kazi na kampuni yetu tafadhali naomba usisite kututafuta
HUDUMA TUNAYOANZA NAYO NI,
(Catering services )hivyo natamani msaada hasa upande huu wa catering services
Kwa mawasiliano,,email companyfoema@gmail.com, mujuni2244@gmail.com
Ahsante na nitashukuru kwa kuniunga mkono.