naitaji ushauri wenu niko njia panda

naitaji ushauri wenu niko njia panda

igoma

Member
Joined
Mar 12, 2013
Posts
45
Reaction score
4
wa ndugu mimi ni kijana naishi hapa mwanza nimemaliza chuo mwaka huu na nimebahatika kupata kijikazi japo hakilipi kihivyo.nilipokuwa chuo nilibahatika kuwa na mahusiano na dada mmoja for almost 2 years nimemaliza na yeye ndo yuko mwaka wa tatu hapa mjini,ndani ya muda wa mahusiano yetu tumekuwa niwatu wa kugombana mara kwa mara na kuachana na kurudiana mara kadhaa,tukiwa chuo huyu dada alipata ujauzito na akakomaa autoe mimi sikupenda atoe lkn kwa ubabe wake alitoa,nilikasirika lakini tukaelewana maisha yakaendelea ikawa haipiti wiki ni ugonvi tu dada anapenda kunicontrol na maamuz ya kibabe,tukigombana mimi naomba msamaha tunaendelea yeye hajui kabsa neno samahani.baada ya kumaliza chuo na kupata kazi ugonvi pia nakutoelewana kukazidi ikabidi tuachane ths tym nkamwambia niko seriouz nasita mrudia akalia sana lakn nikasema sita change uwamuzi,baada ya wiki kama mbili hv nikaanza mahusiano na mtu mwingne kipindi hicho chote alikuwa anasumbua turudiane analia lkn nikasema si change ,sasa siku moja nimetoka kazini nikamkuta mlangoni kwangu akiwa amedhoofu sana amepungua analia nikamuuliza vip akasema hawez kuishi bila mimi nikasema kurudiana nae hapana coz hatuwez kuwa na future coz mkorofi sana,akaniambia nimpe hata copy yangu yan nimpe mimba nikamwambia mm nina mtu mwingne hatuwez rudiana,tukakaa tukaongea akasema nimpe mwezi atabadirika nkasema sawa kwa bahati mbaya siku hiyo tukafanya ngono,hazkupita wiki mbili tukagombana tena,basi nikaendelea na dada nilokuwa nae,juzi kanipigia simu yupo chuo anamimba,cjui nifanyeje coz namtu mwingne na mimi cijawa tayari kulea mtoto coz bado cjajipanga,kuishi nae pia ni ngumu coz mgonvi sana,je mtoto pia itakuwaje.am so confused nipeni ushauri nifanyeje ndugu yenu coz me pia namakosa na mapungufu yangu.
 
aisee sasa mtoto atalelewa vip,na vip mtu niliye nae nimwambia au nikae kimya,so confused. pia hataki kwao wajue
 
Hana mimba anakutingisha tu! Mwambie utagharamia muende hospital!
 
wewe una tatizo la akili?

ulikataa mwanzo asitoe mimba sio?
ulitaka azae?

halafu humtaki lakini uka sex nae bila condom sio?
huku ukijua mwenzio anataka mimba now sio?

halafu unakuja kutuambia sisi hujui ufanyaje?

we mzima kweli?
 
amevurugwa! wanaume wenye kukosa maamuzi ni janga jingine la kitaifa! hivi mtu unadanganyikaje na papuchi kirahisi hivo?kuna jamaa mwingine my workmate nae ni hivi hivi na mpenzi wake baada ya dada kumtegea mimba akahamia kwake amejifungua wanaishi wote ila jamaa anasema hamtaki eti ! wakati mtu anaishi kwake ...huwa namshangaa sana
wewe una tatizo la akili?

ulikataa mwanzo asitoe mimba sio?
ulitaka azae?

halafu humtaki lakini uka sex nae bila condom sio?
huku ukijua mwenzio anataka mimba now sio?

halafu unakuja kutuambia sisi hujui ufanyaje?

we mzima kweli?
 
Kuzaa sio tiketi ya ndoa. take your time achana naye
 
Huwa na msimamo na tamaa imekuponza. Ushauri uutakao hautakusaidia. Umelikoroga linywe.
 
umejitakia acha ubebe msalaba wako mwenyewe kwanza wewe ni msaliti umemsaliti dada uliyekuwa naye.

pia hauna msimamo mimi sikuonei huruma hayo majanga umejitakia mwenyewe
 
Wewe si alikwambia kwamba anataka mtoto na wewe?
Na siku hiyo hiyo ukafanya nae ngono,manake ulikubali kuzaa nae.
Na wakati unakataa asitoe ujauzito mwanzoni ulikuwa chuoni kipindi ambacho haukuwa na kazi,sasa ivi unakazi unasema haujajipanga,.

Usitake kutupumzikia kaka.
 
wewe una tatizo la akili?

ulikataa mwanzo asitoe mimba sio?
ulitaka azae?

halafu humtaki lakini uka sex nae bila condom sio?
huku ukijua mwenzio anataka mimba now sio?

halafu unakuja kutuambia sisi hujui ufanyaje?

we mzima kweli?

The Boss mim mwenyewe nilitaka nimulize hvyo hvyo, ngoja nimuulize tena, eti upo njia panda ya kwenda wapi, kigogo au?
 
wewe una tatizo la akili?

ulikataa mwanzo asitoe mimba sio?
ulitaka azae?

halafu humtaki lakini uka sex nae bila condom sio?
huku ukijua mwenzio anataka mimba now sio?

halafu unakuja kutuambia sisi hujui ufanyaje?

we mzima kweli?

sio kwamba sina akili huyu ni mtu niliyekuwa nae for 2 yrs,na mm ni binadamu na madhaifu yangu.just advice ucntukane jamaa.
 
Kuzaa sio tiketi ya ndoa. take your time achana naye

asante ndugu for your advice,umeonyesha maturity cio hawa wengne badala ya kunishauri wananitusi mm pia ni binadamu nina mapungufu yangu pia,take me the way i am,hata km mjinga sawa bt just advice me
 
sio kwamba sina akili huyu ni mtu niliyekuwa nae for 2 yrs,na mm ni binadamu na madhaifu yangu.just advice ucntukane jamaa.

umekuwa nae for 2 good solid years kwa tabia zake hizo ikiwemo ya uuwaji wa mwanenu. halafu ulipomtema juzi kati akatangaza umpe copy yako. ukaamua kumpa huku ukijua una new relationship.

a modesty advice: mnyang'anye copy yako...teh teh teh
 
igoma wewe ni igoma kwelikweli tena ya kule "kanyama" walikokuwa wanauzia mapanki ya sangara!
the good thing I like with people walio njia panda ni kuwa wanajitambua kwamba wako njia panda.
Nzuri zaidi ni kwamba wanaelewa ukiwa njia panda lazime uende either kulia, kushoto ama urudi nyuma au ubakie hapohapo (kubaki hapo ni mbaya koz utasababisha Jam kwa watumiaji wengine wa hiyo njia).:faint2:
 
Back
Top Bottom