Naitaji gari la kutembelea

Naitaji gari la kutembelea

Y2k

Member
Joined
Apr 21, 2012
Posts
77
Reaction score
27
Habari za mid a hii wanna if. Husika na kichwa cha habari apo juu Nina mlion 7 naitaji gari mojawapo kati ya hizi . Toyota brevis; alteza ama ipsum ziwe katika hali nzuri na I we imeanzia 2003 mwaka na kuendelea. Natanguliza shukran.
 
Million 7 unataka alteza? Unaweza kupata carina TI tena Zanzibar sio dar
 
Hiyo verosa bei kubwa kamavipi punguza na utume details zake
 
Kuna verosa namba BNS inataka 8.8m. Odometer 84000. Kama utahitaji ni pm namba yako nikurushie picha kwa whatsap.

Nimekupm namba yangu pia
 
mwakibete namimi nitumie pic ya hyo verossa.mkuu 0714478797
 
Habari za mid a hii wanna if. Husika na kichwa cha habari apo juu Nina mlion 7 naitaji gari mojawapo kati ya hizi . Toyota brevis; alteza ama ipsum ziwe katika hali nzuri na I we imeanzia 2003 mwaka na kuendelea. Natanguliza shukran.

Unataka magari halafu bei haujui.
 
Hiyo pesa yako mbuzi alafu unataka mambo makubwa! ha ha ha! Eti isiwe chini ya mwaka 2003!
 
A cha umama ww king Kong. Mwakibete ngoja nilurushie no tuongee bei

Haya unataka matanuzi halafu hela huna endelea kununua magari mabovu mafundi wapo humu jf watakusaidia.
 
Nitumie picha kaka na inahali gani ama inatatizo lipi ?

Toyota premio G
Mwaka 2003
Bei 8.5M

ImageUploadedByJamiiForums1399118418.230041.jpg ImageUploadedByJamiiForums1399118471.803244.jpg ImageUploadedByJamiiForums1399118540.294633.jpg ImageUploadedByJamiiForums1399118571.903737.jpg
 
Back
Top Bottom