Kwa nia njema nakushauri usikubali kununua TI chini ya bei ya Bajaj ambayo kwa Sasa ni 5.8m maana itakuwa fupaa hata Mbwa halambi, Bora uendelee ku save au nunua kwa cash kwa hiyo 5m balance iwe mkopo ulipe taratibu
wakuu mwenye gari ya sifa hizo na anaitaji kuuza ani pm
Nakushauri utafute Starlet ni gari ngumu sana.
Mkuu, kwa hakika unaweza kupata carina nzuri kwa 5M, kama tu utakuwa na subira na uvumilivu, japo inaweza kuchukua muda. Watu wanauza magari yao kwa nia tofauti, mwingine amebanwa na shida, mwingine anahitaji kununua gari tofauti! Ungeweza ungeongeza 3M kwenye hiyo pesa unaagiza mashine "mpya" kwa around 4M then 4M inayobaki unajiandaa kwa kodi na gharama zingine. Cha muhimu usiwe na haraka mkuu!wakuu mwenye gari ya sifa hizo na anaitaji kuuza ani pm
Usitanue upaja kama msuri mdogo kama hauwezi gari si mbaya ukianza na toyo si unaona diamond alianza na opa sasa ana v8.
=====================
Ukipata Ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa
=====================
kama kawaida yako King Kong III kila kitu unaponda,
wakuu mwenye gari ya sifa hizo na anaitaji kuuza ani pm