hiyo Hapo mkuu, bandol lako tuKama Kuna mtu ana hii riwaya inaitwa Mkimbizi iliandikwa na Hussein Tuwa (Kama sijakosea) naomba anipatie au aiweke hapa.
Niliisomaga zamani sana kwenye magazeti pendwa wakati ule yaliyokuwa yanatoka kila week
Nakuchek bro!mi ninayo hadi MWISHO
Mkuu una Mtuhumiwa?naitafuta sanaKwenye Mkimbizi na Mtuhumiwa Tuwa alikamua sana.
Unasoma riwaya mpaka unadata kwa mizuka.
Hizi ni baadhi ya kazi zake ambazo kwangu nimezikubali sana;
Mtuhumiwa.
Mkimbizi.
Mdunguaji.
Mfadhili.
Utata wa 9/12 part1&2.
Mtuhumiwa kipo?Mkimbizi ukienda pale maeneo karibu na soko la kisutu vipi unapata
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina mkuu mambo ya kuazimisha wadau wakaenda nachoMkuu una Mtuhumiwa?naitafuta sana
Tiga Mumba"Find the bastard at the Rickshow" niliishia hapa aisee... mwenye link namna ya kuipata atasaidia.
Jamaa Yuko poa,,Mtuhumiwa kipo?
Mkuu hiyo Mtuhumiwa copy yake unayo? Maana njmekisaka sana hichi kitabu sijakita mpaka mwenyewe hajatoa toa hard copy yake kwa miaka hii ya karibunKwenye Mkimbizi na Mtuhumiwa Tuwa alikamua sana.
Unasoma riwaya mpaka unadata kwa mizuka.
Hizi ni baadhi ya kazi zake ambazo kwangu nimezikubali sana;
Mtuhumiwa.
Mkimbizi.
Mdunguaji.
Mfadhili.
Utata wa 9/12 part1&2.
softNi soft copy mkuu ama hardcopy
kipoMkuu una Mtuhumiwa?naitafuta sana
Naweza kupata mkuusoft
ndioNaweza kupata mkuu
Nakuja pm mkuundio
Connection ya Mtu wa miraba minneTiga Mumba
naomba mkuu, naipataje ?mi ninayo hadi MWISHO