Naitafuta hii dawa, Ngetwa 3

GBBali

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2013
Posts
1,931
Reaction score
537
Kulikuwa na dawa inaitwa ngetwa3. Nilitumia kwaajiri ya maralia lakini ikaadimika baadae nikawa naiona kwenye maduka ya waindi mtaa wa uhuru kariakoo kwa bei ya juu.

Sasa nina muda mrefu siioni.
 
Kulikuwa na dawa inaitwa ngetwa3.Nilitumia kwaajiri ya maralia lakini ikaadimika baadae nikawa naiona kwenye maduka ya waindi mtaa wa uhuru kariakoo kwa bei ya juu sasa nina muda mrefu siioni?
Bei yake ni 1500
 
Mkuu wewe lazima utakuwa mhenga,maana humu ukitoa miaka 6 kurudi nyuma wengi walikuwa hata smartphone wanakatazwwa kushika,kwahiyo si rahisi kuijua.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…