Mwanasheka
Member
- Feb 26, 2013
- 16
- 4
Habari zenu wanajamii wenzangu. Mimi ni mwanamke umri miaka 32. Mwenzenu ninasumbuliwa na tatizo la kutokuwa na FURAHA. Tatizo hili limeanza miaka mingi sana nadhani tangu nikiwa mdogo sikumbuki mara ya mwisho nimefurahi lini.Kilichonifanya niweke hapa na kuomba ushauri ni baada ya kugundua week iliyopita kuwa nina miaka mingi pia SIJACHEKA maana kuna mtu alinisimulia story tena ya kijinga jinga tu ila NILICHEKA SANA hadi nikasikia mapafu/moyoni kama kuna mzigo nimeupunguza hapo ndipo nikastuka kumbe nina siku nyingi sana sijacheka. Ina maana siku zote nilikuwa natoa Plastic Smile tu na si kuwa nilikuwa NAFURAHI toka MOYONI.
Ninaomba umnipe Ushauri mwenzenu nifanye nini ili niwe na furaha (Happy) pia nicheke kicheko cha Ukweli sio Plastic Smile.
Maisha yangu kwa kifupi yako hivi:
1) Mie sio mtu wa kutoka (Outing),Nililelewa na Mama wa Kambo na sikupata muda wa kucheza na wenzangu nilipokuwa mdogo except muda ule nilipokuwa shuleni tu,muda wote nilikuwa nasaidia kazi za nyumbani..so sikuwa na marafiki zaidi ya niliosoma nao darasa moja. Tangu nikiwa mdogo nimekuwa mwenyewe mwenyewe tu,siwezi kusocialize kabisa,starehe yangu ni kulala. Inaweza kuwa ni sababu pia lakini mbona ninaishi kwangu tangu 2006 lakini sina FURAHA/AMANI YA MOYO.
2) Nina ugonjwa unaonisumbua miaka mingi sana kama 20 yrs sasa niko kwenye tiba maendeleo ni mazuri tu .Ila nimehangaika sana hadi kufikia hapa.Je hili pia laweza kuwa ni chanzo cha kukosa Furaha na kama ni ndio chanzo mbona nimeana kupata nafuu ya ugonjwa lakini bado sina FURAHA/AMANI YA MOYO.
3) Sijaolewa
Nishaurini mwenzenu nifanye nini ili niweze kuwa na FURAHA au AMANI YA MOYO.
Ninaomba umnipe Ushauri mwenzenu nifanye nini ili niwe na furaha (Happy) pia nicheke kicheko cha Ukweli sio Plastic Smile.
Maisha yangu kwa kifupi yako hivi:
1) Mie sio mtu wa kutoka (Outing),Nililelewa na Mama wa Kambo na sikupata muda wa kucheza na wenzangu nilipokuwa mdogo except muda ule nilipokuwa shuleni tu,muda wote nilikuwa nasaidia kazi za nyumbani..so sikuwa na marafiki zaidi ya niliosoma nao darasa moja. Tangu nikiwa mdogo nimekuwa mwenyewe mwenyewe tu,siwezi kusocialize kabisa,starehe yangu ni kulala. Inaweza kuwa ni sababu pia lakini mbona ninaishi kwangu tangu 2006 lakini sina FURAHA/AMANI YA MOYO.
2) Nina ugonjwa unaonisumbua miaka mingi sana kama 20 yrs sasa niko kwenye tiba maendeleo ni mazuri tu .Ila nimehangaika sana hadi kufikia hapa.Je hili pia laweza kuwa ni chanzo cha kukosa Furaha na kama ni ndio chanzo mbona nimeana kupata nafuu ya ugonjwa lakini bado sina FURAHA/AMANI YA MOYO.
3) Sijaolewa
Nishaurini mwenzenu nifanye nini ili niweze kuwa na FURAHA au AMANI YA MOYO.