Sijaelewa
Hii ni kauli ambayo aliitoa kwenye bunge la bajeti linaloendelea siku chache zilizopita.Wengi tuliichukulia kauli ile kuwa ni ya aina yake hasa kwa jinsi ilivyowasilishwa.Wapo baadhi waliyoipuuza na kuiacha ipite.
Hivi ni nini kilichojificha kwenye uwaziri wa Prof. Mark Mwandosya hadi tunaambiwa "hujafa hujaumbika?" Mwandosya ni waziri pekee asiye na wizara niliyewahi kusikia duniani! Ama kweli "hujafa hujaumbika"
Wakati mawaziri wengine wanapanga bajeti za kuwatumikia wananchi kwa kutumia kodi zetu, yeye Mwandosya anapanga bajeti ya kula, kunywa na kutembea kwa kutumia kodi zetu watanzania.Ndiyo, ana haki ya kupanga bajeti! Si ni waziri? Mimi najiuliza sana mpaka napata hasira! Ni kwa nini Kikwete alimteua waziri anayetumia kodi za watanzania kujipangia bajeti ya kutumia yeye mwenyewe?
Kweli Kikwete kwa hili nilijikuta nazidi kumtafakari ni rais wa aina yake! Kuna nini kati ya Kikwete na Mwandosya hadi tunaambiwa kuwa hujafa hujaumbika? Ni fadhila gani na kwa jambo lipi zinazolipwa? Kuna mambo kama watanzania tunayachukulia kawaida lakini yanatupatia taswira ya ajabu sana duniani!
Ina maana kwa kauli ya Celina Kombani Kikwete anamuumba Mwandosya kwa kumpa uwaziri, shangingi na bajeti huku kukiwa hamna analofanya kama waziri kwa ajili ya watanzania? Hizi ni kodi zetu na mimi ni miongoni mwa walipa kodi nina haki ya kulalamika! Tuangalie matatizo lukuki yanayotukabili huku kukiwa na mawaziri wasio na wizara wanaopangiwa bajeti na kupewa mashangingi, walinzi na hadhi zote kama waziri!
Ama kweli "hujafa hujaumbika" Mimi mlala hoi nani ataniumba?
Pumzika kwa amani baba wa taifa la Tanzania...uliyakemea haya kwa uzalendo wa hali ya juu!
Tafadhali usipotoshe historia; Salim Ahmed Salim hajawahi kuwa naibu waziri mkuu bali waziri mkuu!!!
AMA wewe unazaliwa wapi? waziri asiye na wizara maalumu "minister without portfolio" mbona hiki ni kitu cha zamani sana tangu enzi mwalimu enzi hizo Hayati R.M. Kawawa aliwahi kuwa waziri asiye na wizara maalum, wakati wa mkapa Dr. Hasy Kitine pia aliwahi kuwa waziri asiye na wizara maalum. labda kama unasema hiki ni kitu cha kipekee kwa Tanzania, lakini sio eti hujawahi kuona. wewe umezaliwa lini. naona ama umri unakusumbua au wewe ni bongolala
AMA wewe unazaliwa wapi? waziri asiye na wizara maalumu "minister without portfolio" mbona hiki ni kitu cha zamani sana tangu enzi mwalimu enzi hizo Hayati R.M. Kawawa aliwahi kuwa waziri asiye na wizara maalum, wakati wa mkapa Dr. Hasy Kitine pia aliwahi kuwa waziri asiye na wizara maalum. labda kama unasema hiki ni kitu cha kipekee kwa Tanzania, lakini sio eti hujawahi kuona. wewe umezaliwa lini. naona ama umri unakusumbua au wewe ni bongolala
At least hao hawakuwa wagonjwa ................ HUJAFA HUJAUMBIKA! The bottom line is two wrongs do not make right! Serikali za awamu hizo hazikushindwa kutoa OC kwenye Idara na Taasisi zake. Lakini awamu hii haiwezi kutoa OC kwenye Idara na Taasisi zake, halafu eti katika mazuri yote yaliyofanywa na awamu zilizopita, awamu hii IMEONA ZURI MOJA TU LA KUTEUA MAWAZIRI WASIO NA WIZARA MAALUMU! But to add salt to the wound, yenyewe imekwenda mbali zaidi, kwa kuteuwa WAGONJWA kuwa mawaziri wasio kuwa na wizara maalumu. haya ndiyo mambo yanayotetewa na SPIN DR(?) wa awamu hii!!
The look of her lips confirm your assertion.Kama ugonjwa ndio unadhani ndio disqualification ya mtu kuwa waziri basi wabunge wengi ni wagonjwa ambao hawastahili kuteuliwa!!! Angalia tu jinsi bajeti yao ya wabunge wanaoongozana kwenda India; na hiyo ni siri yao wasioyoitaka ijadiliwe hadharani!!! Hakuna hata memba mmoja wa cabinet ambaye sio mgonjwa!!!! Huyo Celina Kombani mwenyewe ana maradhi yasiyotibika.
Mimi binfsi ninakushangaa wewe kwa KUZISHANGAA kauli za CCM! Kuna mwingine mnamuita Spika aliwahi kusema hivi Kama yeye angekuwa na uwezo wa Kimungu basi angemchagua Mtanzania mwingine afe badala ya Dr. Mgimwa (former Minster of finance). Wakati hii serikali ya awamu ya nne ikishindwa kabisa kutoa OC kwa idara na Taasisi zake (ziko hoi bin taabani haziwezi hata kulipa utilities bills). Bado Rais anamteua mtu kuwa waziri asiye na wizara maalumu kwasababu eti HUJA HUJAUMBIKA! This can only be found in Tanzania. Kama huyu Rais ana huruma kiasi basi awateue wagonjwa wote waliopo mahospitalini kuwa mawaziri wasio kuwa na wizara maalumu, maana hawajafa, hawajaumbika!
The look of her lips confirms your assertion.
Hujaelewa nini sasa?rudia kusoma
Zishabadilika rangi kitambo. Sijui inaashiria nini!Lips sake zikoje kwani?
Hii ni kauli ambayo aliitoa kwenye bunge la bajeti linaloendelea siku chache zilizopita.Wengi tuliichukulia kauli ile kuwa ni ya aina yake hasa kwa jinsi ilivyowasilishwa.Wapo baadhi waliyoipuuza na kuiacha ipite.
Hivi ni nini kilichojificha kwenye uwaziri wa Prof. Mark Mwandosya hadi tunaambiwa "hujafa hujaumbika?" Mwandosya ni waziri pekee asiye na wizara niliyewahi kusikia duniani! Ama kweli "hujafa hujaumbika"
Wakati mawaziri wengine wanapanga bajeti za kuwatumikia wananchi kwa kutumia kodi zetu, yeye Mwandosya anapanga bajeti ya kula, kunywa na kutembea kwa kutumia kodi zetu watanzania.Ndiyo, ana haki ya kupanga bajeti! Si ni waziri? Mimi najiuliza sana mpaka napata hasira! Ni kwa nini Kikwete alimteua waziri anayetumia kodi za watanzania kujipangia bajeti ya kutumia yeye mwenyewe?
Kweli Kikwete kwa hili nilijikuta nazidi kumtafakari ni rais wa aina yake! Kuna nini kati ya Kikwete na Mwandosya hadi tunaambiwa kuwa hujafa hujaumbika? Ni fadhila gani na kwa jambo lipi zinazolipwa? Kuna mambo kama watanzania tunayachukulia kawaida lakini yanatupatia taswira ya ajabu sana duniani!
Ina maana kwa kauli ya Celina Kombani Kikwete anamuumba Mwandosya kwa kumpa uwaziri, shangingi na bajeti huku kukiwa hamna analofanya kama waziri kwa ajili ya watanzania? Hizi ni kodi zetu na mimi ni miongoni mwa walipa kodi nina haki ya kulalamika! Tuangalie matatizo lukuki yanayotukabili huku kukiwa na mawaziri wasio na wizara wanaopangiwa bajeti na kupewa mashangingi, walinzi na hadhi zote kama waziri!
Ama kweli "hujafa hujaumbika" Mimi mlala hoi nani ataniumba?
Pumzika kwa amani baba wa taifa la Tanzania...uliyakemea haya kwa uzalendo wa hali ya juu!
Tanzania kwa vipindi mbalimbali imekuwa na mawaziri wasio na wizara maalum. Miongoni mwao ni marehemu Kawawa.
Pia nchi nyingine nyingi zina mawaziri wasio na wizara maalum. Miongoni mwa hizo nchi ni Uingereza ambayo kwa vipindi mbalimbali imekuwa na mawaziri kama hao. Serikali ya sasa ina mzee Ken Clarke.
Lengo hasa la hii nafasi ni kuwapa wale watu ambao uzoefu wao unaweza kulisaidia baraza la mawaziri kufanya maamuzi ya maana, lakini wakati huo huo, wahusika wanaweza kuwa ni wazee au wanaumwa na hivyo hawawezi kuwa kwenye hekaheka za kila siku za kuongoza wizara kamili.
Kwa case ya prof. Mwandosya ni kwamba anaumwa. Kikawaida ungetegemea JK asimweke tena kwenye baraza la mawaziri. Lakini huenda kaona bado wanahitaji busara zake lakini pia hawawezi kumpa wizara kamili kwasababu bado hajapona.
The look of her lips confirm your assertion.
Kama ugonjwa ndio unadhani ndio disqualification ya mtu kuwa waziri basi wabunge wengi ni wagonjwa ambao hawastahili kuteuliwa!!! Angalia tu jinsi bajeti yao ya wabunge wanaoongozana kwenda India; na hiyo ni siri yao wasioyoitaka ijadiliwe hadharani!!! Hakuna hata memba mmoja wa cabinet ambaye sio mgonjwa!!!! Huyo Celina Kombani mwenyewe ana maradhi yasiyotibika.