Naitafakari sana kauli nzito ya Celina Kombani "hujafa hujaumbika"

Tanzania kwa vipindi mbalimbali imekuwa na mawaziri wasio na wizara maalum. Miongoni mwao ni marehemu Kawawa.

Pia nchi nyingine nyingi zina mawaziri wasio na wizara maalum. Miongoni mwa hizo nchi ni Uingereza ambayo kwa vipindi mbalimbali imekuwa na mawaziri kama hao. Serikali ya sasa ina mzee Ken Clarke.

Lengo hasa la hii nafasi ni kuwapa wale watu ambao uzoefu wao unaweza kulisaidia baraza la mawaziri kufanya maamuzi ya maana, lakini wakati huo huo, wahusika wanaweza kuwa ni wazee au wanaumwa na hivyo hawawezi kuwa kwenye hekaheka za kila siku za kuongoza wizara kamili.

Kwa case ya prof. Mwandosya ni kwamba anaumwa. Kikawaida ungetegemea JK asimweke tena kwenye baraza la mawaziri. Lakini huenda kaona bado wanahitaji busara zake lakini pia hawawezi kumpa wizara kamili kwasababu bado hajapona.

Je hao mawaziri waliochanguliwa huko nyuma wasiokuwa na wizara maalumu walikuwa WAGONJWA?! Maana hivi vituko vya JK kuchagua WAGONJWA havijaanza kwa Mwandosya. JK amewahi kumteua Mama mmoja kuwa Judge wa Mahakama kuu akiwa ICU. Leo nafikiri mwaka 4 tangu amteua huo Judge hajawahi hata kukanyaga ofisini achilia mbali kusilikiza shauri lolote.
 
The look of her lips confirm your assertion.

nimewahi kuishi jimbo analotokea huyu mama kwa muda wa miaka mi5 (Ulanga mashariki/mahenge) wakazi wengine wa kule wanadai huyu mama MJUMBA X kitambo sana, muda na saa yoyote unabomolewa.
Chunguza hata afya yako mara nyingi huwa anazorota sana, redish lips, uso umemkauka na ukimsogelea karibu ndo utaamini kile unachoamini.
 
nimewahi kuishi jimbo analotokea huyu mama kwa muda wa miaka mi5 (Ulanga mashariki/mahenge) wakazi wengine wa kule wanadai huyu mama MJUMBA X kitambo sana, muda na saa yoyote unabomolewa.
Chunguza hata afya yako mara nyingi huwa anazorota sana, redish lips, uso umemkauka na ukimsogelea karibu ndo utaamini kile unachoamini.
mkuu kuna tetesi kuwa Mwandosya alipoulizwa anafanya nini kama waziri mama aliumwa sana roho kwani wote ni kundi moja la janga.!
 
Kuna vitu viwili hapa unachanganya. Kuwa mgonjwa na ukawa capable kufanya kazi (kutumiza majukuma yako). Pili kuwa mgonjwa na ukawa incapable kutimiza majukumu yako. Sheria za utumishi wa umma ziko wazi kabisa, mtumishi yeyote yule ambaye ni mgonjwa na hawezi kutimiza majukumu yake, mwajiri anapaswa kumuachisha kazi na kumlipa sitahiki zake zote. Hakuna mahala ambapo kunamtaka mwajiri ampangie kazi zisizokuwa maalamu mfanyakazi anayeumwa aliyeshindwa kutimiza majukumu yake. (Ref Waziri asiyekuwa na wizara maalumu).

Huyo unayemsema kuwa ni mgonjwa hatimizi majukumu yake mbona ndio huyo anatumwa na serikali nchi za nje kwenda kuwasilisha/kuwakilisha mambo mbalimbali; je huko sio kutimiza majukumu? Wewe nadhani una lako jambo lililojificha nyuma ya uzi wako !!!!!!
 
Duuh,kumbe kukenua kenua hovyo huyu mkuu wa kaya kaanza zamani tu.!! Haya nashukuru kwa picha.

Mkuu sasa unavuka minyau! Kiongozi wa watu kwa watu wake hatakiwi mtu wa kununanuna na kuwajengea hofu wanaomzunguka...
 
nimewahi kuishi jimbo analotokea huyu mama kwa muda wa miaka mi5 (Ulanga mashariki/mahenge) wakazi wengine wa kule wanadai huyu mama MJUMBA X kitambo sana, muda na saa yoyote unabomolewa.
Chunguza hata afya yako mara nyingi huwa anazorota sana, redish lips, uso umemkauka na ukimsogelea karibu ndo utaamini kile unachoamini.

Tetesi kama hizi zimetulia sana, big up jamaa Kayoka.
 
Last edited by a moderator:
kwa kweli hata mm hapa nimeachwa

Ni kwamba wiki iliyopita, Moses Machali alichangia bungeni na kutaka serikali itoe maelezo kwa nini Rais aliteua waziri ambaye hana wizara maalumu na hivyo kutumia hovyo pesa za walipa kodi.

Badala ya kujibu hoja, Waziri Kombani aliamua kumsema Mbunge tena kwa maneno ya ajabu. Kwamba aangalie sana kauli zake na kwamba bado ni kijana. Na pia akumbuke kuwa, "hujafa hujaumbika". Hakutoa maelezo zaidi ya hapo.

Kwa maoni yangu, hoja ya Machali ni nzito na serikali ilitakiwa kutoa majibu ya kuridhisha. Badala yake waziri anatoa mipasho na kumsuta Mbunge.

Ila ndiyo aina ya serikali tuliyonayo!
 
So maana yake waziri Mwangosya anaumwa ndo maana akawe waziri maalumu
 
Back
Top Bottom