Naishi naye bila hisia


Lakini nimezaa nae mkuu watoto wanne bahati mbaya tu ilitokea.
 
Janaume moja bwege sana. Hopeless kabisa
 
Kazi unayo kiongozi,ule tu ujasiri wa kuzaa na mtu mwingine alafu unaachana nae,aixee hiyo dam yako huwazi hata
 
hakuna kipengele umeonesha kuwa mlipima HIV...

vijana wa siku hizi hawana hofu ya UKIMWI, wanaogopa mimba tu kmmk!
HIV sio rahisi ivo mkuu

90% tuna anza maisha ya kuvutana bila kupima na mzg unakuwa safiiii


ni wachache sana wanaop pima
 
Uzi uishie hapa👏👏👏
 
Kazi unayo kiongozi,ule tu ujasiri wa kuzaa na mtu mwingine alafu unaachana nae,aixee hiyo dam yako huwazi hata

Niliachana nae kwasababu ya huyu ninayeishi nae mkuu
 
Kuna agano la kifamilia kwenu...

Agano la kifo Cha watoto.

Fanya uvunje hilo agano kwa damu ya YESU.

NB: Kama ni Mkristo, sadaka ya ujenzi wa madhabahu ndio inaweza kuvunja agano hilo.

Ikumbukwe hilo agano lilitolewa Sadaka ya kafara ya damu hivyo lazima Sadaka ihusike.
 

Una maanisha nijenge kanisa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…