Maarab
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 415
- 253
Ni milongo 3 hivi takribani Tz tuanze Kuact Movie za Kidrama ambazo zikiwahusisha Ma actors kama kina Insp.Seba,kina Jimmy na wenzao Wengi.
ila hapo awali nildhan ili movie yako iwe nzur lazma na Vifaa viwe bora tu,na kwa hizi zetu hapa niljua kua pengine hatuna vifaa vya kutosha ndo hutupelekea movie zetu zisiwe nzur..Kumbe Laa hasha!!
Ila Kwa wenzetu Wakenya kama sijakosea wanaeza kua na Mlongo 1 tu since waanze kutamba ktk tasnia hii ya Movie..ikiwa awali alibase kwa Maigizo pekee.
bianafc niljiuliza mambo mengi Je,iweje sisi(Tz)tuliwangulia zaid ya Miongo 2..then wao wakaja fanya Sana bora kuljo sisi tulio wangulia.
The Nairobi half life ni best Movie arround all E.Africa
ila hapo awali nildhan ili movie yako iwe nzur lazma na Vifaa viwe bora tu,na kwa hizi zetu hapa niljua kua pengine hatuna vifaa vya kutosha ndo hutupelekea movie zetu zisiwe nzur..Kumbe Laa hasha!!
Ila Kwa wenzetu Wakenya kama sijakosea wanaeza kua na Mlongo 1 tu since waanze kutamba ktk tasnia hii ya Movie..ikiwa awali alibase kwa Maigizo pekee.
bianafc niljiuliza mambo mengi Je,iweje sisi(Tz)tuliwangulia zaid ya Miongo 2..then wao wakaja fanya Sana bora kuljo sisi tulio wangulia.
The Nairobi half life ni best Movie arround all E.Africa