babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,897
- 34,890
Kiswahili ni lugha ngumu mnoo kama hukielewi.demu na train wapi na wapi?umekosa hoja mkaka..mngojeni magu awaletee zenu mjaze servers za jf
Kiswahili ni lugha ngumu mnoo kama hukielewi.demu na train wapi na wapi?umekosa hoja mkaka..mngojeni magu awaletee zenu mjaze servers za jf
unanionyeshi reli...we mzima kweli.utapanda juu ya nyaya ukimbie?
Tuki..... Tuta.....look directly into the mirror, you will see the desperate person..the person using words only but not a single shred of evidence.a guy hoping and praying something happens..but till then,only the word of mouth can boost his ego





😀 😀 😀 ...umehama sasa unaenda kwa maflyover...sio uzi wa flyovers huu...tulikua tunaongelea trains mkali.tuletee zenu
Kwani hii kitu haina fence,
Itapigwa fence km kawa.Kwani hii kitu haina fence,
Hv hii kitu ilikuwa kwenye mpango wa kununuliwa au ni panic buy.
Hahahaaa reli yetu ni the longest pengine kuliko zote Afrika so usitegemee itachukua tu 4 yrs, no itachukua muda mrefu zaidi ya 4yrshii ndio inaitwa slow but sure...polepole tu tunasonga.hatukurupuki kama jamaa fulani ambao wanajenga reli miaka minne




Mbn hz seat zinakaa matatu? Seat za brt zetu ni nzr kuliko hii kitu being honest.This is how it looks like insideView attachment 1623309
Yani tumemaliza sgr ya over 700km track length na over thirty train stations, 200 km ya commuter rail na 25 commuter train stations na wenzetu wa kusini hata 200 km ya kwanza bado wanahangaika hii ni mwaka ya 4. Tuko mbioni kumaliza 27 km ya elevated highway wenzetu kusini barabara ya 19 km imewashinda kumaliza sasa ni mwaka ya tatu.
DMU utaifanyia panic buying wapi? Unadhani DMUs zinapatikana virahisi? Unadhani kununua DMU ni kama kununua mandazi dukani? Hii kitu hata kama ni mtumba lazima uagize halafu ungoje zaidi ya mwaka moja ili iwe refurbished.Hv hii kitu ilikuwa kwenye mpango wa kununuliwa au ni panic buy.