ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,860
wazimu ni wewe ukipewa dawa unalia 😂😂 umetaka 8lanes sasa umewekewa underconstruction unakasirikaSasa unatuletea kichorochoro hata road markings zenyewe hakina unatuambia ni 8 lane road alfu unataka tusikuite mwendazimu?😂😂



