Braniac
Senior Member
- Aug 17, 2010
- 151
- 6
Wewe kwa akili zako zisizo na moshi wa bange unaona ni sawa mtu asiye na hatia kuuliwa au kutiwa kilema bila sababu?
Na wewe kwa akili zako zenye moshi wa bangi, Unadhani ni sahihi linapotokea tukio kama hilo ku-conclude ni alqaeda waliofanya hata kama sio?