Naipongeza sana Morocco kwa ushindi wa kishindo na nimshukuru refa kwa kuchezesha mpira kwa amani, naionya Tanzania kuto kuvuruga amani ya AFCON

Naipongeza sana Morocco kwa ushindi wa kishindo na nimshukuru refa kwa kuchezesha mpira kwa amani, naionya Tanzania kuto kuvuruga amani ya AFCON

chararaa

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2025
Posts
1,861
Reaction score
2,881
Mpira ulikuwa mzuri na ulikuwa huru na haki naipongeza sana Morocco imepata ushindi wa kishindo kutokana na jitihada kubwa pamoja na maandalizi mazuri waliyo kuwa nayo.

Lakini pia nampongeza sana Refa kwa kahakikisha amani inalindwa kikamilifu wakati wote wa mchezo ingawa kuna wahuni wachache walitaka kuharibu amani na nitoe onyo kali kwa wahuni wachache kutoka Tanzania walio taka kuvuruga amani bila sababu kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Asanteni sana.
 
Kama nawaona vile machawa walivyonuna baada ya kutolewa na Morocco kwa amani, huku haki ikiwekwa pembeni na mwamuzi Traore!
 
Back
Top Bottom