wakati tunasubiri matokeo ya ubunge IGUNGA kuna maeneo tofauti tofauti nchini kulikua na uchaguzi wa udiwani ambapo chadema imeibuka kidedea kata nyingi kwa kupata udiwani, CDM WAMEKUA WAKOMBOZI WA KWELI KWA KWA WATANZANIA, I WISH YOU ALL THE BEST CHADEMA. PEOPLESS POWERR