Wakati zimebaki siku kadhaa tuandike historia mpya ya MAMA TANZANIA ni vyema CCM na CHADEMA wakatambua kua TANZANIA ni muhimu zaidi kuliko wao, figisu figisu zisizo na maana hatuzihitaji.
Atakayechaguliwa na watu wengi aachwe aongoze taifa hili na si kutunisshiana misuli then end of the day wanaoumia ni raia wa kawaida.nina maana yangu kuwataja CCMna CHADEMA na si vyama vingine na ninatumia uhuru wangu wa kikatiba kuandika niliyo yaandika.
Ikumbukwe kwamba tunaenda kuchagua baadhi yetu wakatuongoze katika maslahi mapana ya taifa letu.
Atakayechaguliwa na watu wengi aachwe aongoze taifa hili na si kutunisshiana misuli then end of the day wanaoumia ni raia wa kawaida.nina maana yangu kuwataja CCMna CHADEMA na si vyama vingine na ninatumia uhuru wangu wa kikatiba kuandika niliyo yaandika.
Ikumbukwe kwamba tunaenda kuchagua baadhi yetu wakatuongoze katika maslahi mapana ya taifa letu.